Tag: Covid-19
- by adminleo
- July 16th, 2020
COVID-19: Visa vipya 421 vyafikisha 11,673 idadi jumla
Na PHYLLIS MUSASIA VISA 421 vipya kutokana na sampuli 3,895 katika kipindi cha saa 24 zilizopita vinafikisha 11,673 idadi jumla ya...
- by adminleo
- July 16th, 2020
Twapotoshwa kuhusu corona?
WANDERI KAMAU na ANGELA OKETCH HALI ya wasiwasi imeibuka nchini kuhusu ukweli wa vipimo vya virusi vya corona baada ya maabara mbili...
- by adminleo
- July 5th, 2020
COVID-19: Visa nchini vyakaribia 8,000
Na CHARLES WASONGA JUMLA ya watu 309 zaidi Jumapili wamethibitishwa kuwa na virusi vya corona baada ya sampuli 4,228 kutoka kaunti 37...
- by adminleo
- July 5th, 2020
WHO yakana China ilitangulia kuifahamisha kuhusu corona
Na AFP SHIRIKA la Afya Ulimwenguni (WHO) limebadili kauli yake ya awali kwamba China ndio ililipasha habari kuhusu mlipuko wa janga la...
- by adminleo
- July 4th, 2020
COVID-19: Wizara yatangaza visa vipya 389 idadi jumla ikifika 7,577
Na CHARLES WASONGA WATU wengine 389 zaidi walithibitishwa kuwa na virusi vya corona Jumamosi na kufikisha 7,577 idadi jumla ya...
- by adminleo
- July 3rd, 2020
COVID-19: Kenya yathibitisha visa vipya 247 idadi jumla ikifika 7,188
Na SAMMY WAWERU WIZARA ya Afya Ijumaa imetangaza kwamba katika kipindi cha saa 24 zilizopita watu 247 zaidi wamethibitishwa wanaugua...
- by adminleo
- July 2nd, 2020
COVID-19: Visa jumla vyakaribia 7,000
Na SAMMY WAWERU VISA vipya 268 kutoka kwa sampuli 2,704 katika muda wa saa 24 zilizopita vimefikisha 6,941 idadi jumla nchini....
- by adminleo
- July 2nd, 2020
Mlima Kenya ndio wanaogopa Covid-19 zaidi – utafiti
Na CHARLES WASONGA WAKAZI wa eneo la Mlima Kenya wanaogopa zaidi ugonjwa wa Covid-19 kuliko wakazi wa maeneo mengine nchini, ripoti...
- by adminleo
- June 30th, 2020
COVID-19: Visa nchini Kenya vyapanda hadi 6,366
Na SAMMY WAWERU VISA jumla vya Covid-19 nchini vimefika 6,366 baada ya Waziri Msaidizi wa Afya Dkt Rashid Aman kuthibitisha Jumanne visa...
- by adminleo
- June 29th, 2020
Viongozi wa kidini wataka fursa ya kutakasa shule dhidi ya Covid-19
Na TITUS OMINDE VIONGOZI wa dini kutoka Uasin Gishu wanataka kupewa nafasi ya kutaksa shule kabla ya kufunguliwa. Ili kufanikisha...
- by adminleo
- June 28th, 2020
COVID-19: Visa jumla vyafika 6,070
Na BERNARDINE MUTANU IDADI ya visa vipya vya Covid-19 imeanza kupanda kwa kasi kwa sababu ya maambukizi kuongezeka katika jamii na...
- by adminleo
- June 27th, 2020
COVID-19: Visa vipya 278 idadi jumla ikifika 5,811
Na MAGDALENE WANJA SERIKALI imeonya kwamba visa vya maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 vinatarajiwa kwenda juu zaidi nchini. Waziri...