• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Ni uchaguzi wa masonko 2022

WINNIE ATIENO na VALENTINE OBARA MABILIONI ya pesa yataanza kumiminika kitaifa hivi karibuni, baada ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka...

IEBC yasema iko tayari kutii mabadiliko yoyote ya kikatiba endapo yatatokea

Na WINNIE ONYANDO MWENYEKITI wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka nchini, IEBC, Bw Wafula Chebukati ametangaza kuwa uchaguzi wa Agosti 2022...

Kibarua cha IEBC kuandaa duru ya pili ya uchaguzi 2022

Na WANDERI KAMAU KENYA inakabiliwa na kibarua cha maandalizi ya duru ya pili ya uchaguzi wa urais, ikiwa itajipata hapo kwenye uchaguzi...

Uhuru ajaza nafasi nne za makamishna wa IEBC

Na BENSON MATHEKA Rais Uhuru Kenyatta jana aliteua watu wanne kujaza nafasi zilizokuwa wazi za makamishna wa Tume Huru ya Uchaguzi na...

KINYUA BIN KING’ORI: Wanasiasa wajiepushe na mjadala wa kuahirisha uchaguzi

Na KINYUA BIN KING'ORI INGAWA Mahakama ya Afrika ilitoa ushauri kwamba mataifa ya bara hili ambayo huenda yatashindwa kuandaa uchaguzi...

Pendekezo vyeti vya kuzaliwa vitumike kusajili wapigakura

Na ALEX KALAMA MAPENDEKEZO ya kutaka wananchi waruhusiwe kutumia vyeti vya kuzaliwa kujisajili kupiga kura yanaendelea kutolewa huku...

IEBC imeainisha wazi mazingira ya kituo cha kura – Chebukati

Na SAMMY WAWERU MACHIFU na manaibu wao hawapaswi kuwa katika kituo au vituo vya kura. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka...

Je, IEBC yafaa kuanza kujiandaa kwa kura ya maamuzi kabla ya uamuzi wa mahakama kuhusu rufaa ya BBI?

Na CHARLES WASONGA TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) inaonekana kuanza maandalizi ya kura ya maamuzi ilhali hatima ya mchakato huo...

IEBC yalaumu polisi kwa vurugu za chaguzi ndogo

Na WALTER MENYA MWENYEKITI wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Bw Wafula Chebukati amelaumu polisi kwa kushindwa kudumisha...

Chebukati ashuhudia maandalizi ya uchaguzi wa Juja

Na LAWRENCE ONGARO TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), ilikamilisha maandalizi yake Jumatatu ambapo katika shule ya upili ya Mang'u...

Hatimaye Uhuru atangaza nafasi za makamishna IEBC

Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta hatimaye ametangaza nafasi nne za makamishna wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuwa wazi....

IEBC yaidhinisha wawaniaji 6 wa ubunge Juja

Na LAWRENCE ONGARO TUME ya uchaguzi ya IEBC iliwaidhinisha wagombezi sita wa ubunge katika kiti cha Juja. Zoezi hilo lililofanyika mnamo...