• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 8:50 AM

MAGUFULI: Mchapakazi mwenye lakabu ya ‘Bulldozer’ aliyekweza TZ

Na JUMA NAMLOLA JOHN Pombe Magufuli alibatizwa jina la “Bulldozer” yaani, lile tingatinga kubwa linalotumika kuchimba mitaro au...

Magufuli hakuwa na wakati wa kuwabembeleza Wakenya

Na CHARLES WASONGA MAHUSIANO ya kidiplomasia na kibiashara kati ya Kenya na Tanzania hayajakuwa mazuri chini ya utawala wa Rais John...

Magufuli ‘alitabiri’ kifo chake Februari

Na BENSON MATHEKA RAIS wa Tanzania aliyeaga dunia, John Joseph Pombe Magufuli, ambaye kifo chake kilitangazwa Jumatano, alikuwa...

Tundu Lissu asema atarejea Tanzania iwapo ataruhusiwa kuanika ‘maovu’ ya utawala wa Magufuli

NA WANGU KANURI MWANASIASA mtajika wa Tanzania na mpinzani wa chama cha CHADEMA, Bw Tundu Antiphas Mughwai Lissu hivi sasa amesema kuwa...

Spika wa Bunge la Tanzania awaita wabunge Dodoma

NA ELIZABETH EDWARD, MWANANCHI Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amewataka wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

Magufuli ameangamizwa na corona, Tundu Lissu adai

Na SAMMY WAWERU Kiongozi wa upinzani Tanzania Bw Tundu Lissu amedai Alhamisi Rais wa nchi hiyo, Dkt John Pombe alifariki kutokana na...

Upinzani TZ wataka Mama Samia Suluhu kuapishwa kuwa Rais mara moja

Na MARY WANGARI VIONGOZI wa upinzani nchini Tanzania wametoa wito kwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan kuapishwa mara moja kama Rais...

SAMIA SULUHU: Rais mtarajiwa wa Tanzania

AGGREY MUTAMBO NA WANGU KANURI WATANZANIA sasa wapo tayari kuzoea utawala wa kwanza wa rais mwanamke, Makamu wa Rais Samia Suluhu. Hii...

Kifo cha Magufuli chamletea Harmonize dhiki kuu

NA WANGU KANURI Mapenzi ya mtu kwa mwingine huthibitishwa kwa matendo. Hata hivyo, mapenzi haya kwa nchi huonyesha uzalendo wa mtu huku...

Utawala wa Magufuli ulivyoua demokrasia Tanzania

Na SAMMY WAWERU RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli na aliyefariki Jumatano akiwa na umri wa miaka 61,...

Rais Kenyatta atangaza siku 7 za kumwomboleza Magufuli, bendera nusu mlingoti

NA WANGU KANURI RAIS Uhuru Kenyatta ametoa risala za rambirambi kwa mkewe Rais Magufuli, Janet Magufuli, watoto wao, jamaa na taifa la...

Magavana Kenya wamwomboleza Rais Magufuli

WANGU KANURI NA SAMMY WAWERU BARAZA la Magavana nchini Kenya Alhamisi limetuma risala za rambirambi kumwomboleza Rais John Magufuli wa...