• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Mama Sarah Obama alikuwa mwanamke wa kipekee – Raila Odinga

Na SAMMY WAWERU TAIFA limepoteza mama na kiongozi aliyestahimili mawimbi ya changamoto kuona familia yake na jamii imeimarika, amesema...

Mama Sarah Obama kuzikwa Jumanne

Na SAMMY WAWERU MAMA Sarah Obama, ambaye ni nyanya ya aliyekuwa Rais wa Amerika, Bw Barack Obama atazikwa kesho, Jumanne kwa mujibu wa...

Gavana Nyong’o aongoza Nyanza kumuomboleza Mama Sarah Obama

SAMMY WAWERU na WANGU KANURI GAVANA wa Kisumu Prof Anyang’ Nyong’o ameongoza wakazi wa kaunti za eneo la Nyanza kumuomboleza nyanya...

TANZIA: Mama Sarah Obama afariki

Na SAMMY WAWERU NYANYA ya aliyekuwa Rais wa Amerika, Bw Barrack Obama, Mama Sarah Obama amefariki. Mama Sarah, ambaye alikuwa mjane, mke...

Obama amshutumu Trump kwa kuhujumu demokrasia

Na MASHIRIKA WASHINGTON D.C., Amerika RAIS mstaafu wa Amerika Barack Obama amemshtumu vikali Rais Donald Trump kwa kukataa kukubali...

Jamaa za Obama wararuana mitandaoni

Na VALENTINE OBARA NDUGU wawili wa aliyekuwa Rais wa Amerika, Barack Obama, Jumanne walianika tofauti zao za kifamilia peupe...

Mama Sarah Obama kuadhimisha umri wa miaka 97

Na BRIAN NGUGI NYANYAKE Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama, Bi Sarah Obama leo ataadhimisha miaka 97 tangu kuzaliwa Jumatatu kwenye...

Kuria akaangwa kusema Obama alitoa hotuba ya kudhalilisha Nyanza

NA PETER MBURU Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria amejipata kubanwa na Wakenya katika mtandao wa Facebook, baada ya kuchapisha ujumbe wa...

Wakazi wa Kogelo watamauka kuzuiwa kuhudhuria hotuba ya Obama

Na WANDERI KAMAU WAKAZI wa kijiji cha Kogelo, Kaunti ya Siaya Jumatatu walipigwa na butwaa baada ya kukosa kuhutubiwa na aliyekuwa rais...

Wakazi wamtaka Obama akubali chuo kikuu kipewe jina lake

Na Victor Raballa WAKAZI wa K'Ogelo wanamtaka aliyekuwa rais wa Amerika, Barack Obama, akubali hadharani chuo kikuu kinachopangiwa...

Obama kukutana na Uhuru na Raila

Na CECIL ODONGO ALIYEKUWA rais wa Amerika Barack Obama atafanya kikao na rais Uhuru Kenyatta na aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga...