Tag: obama
Mama Sarah Obama alikuwa mwanamke wa kipekee – Raila Odinga
Na SAMMY WAWERU TAIFA limepoteza mama na kiongozi aliyestahimili mawimbi ya changamoto kuona familia yake na jamii imeimarika, amesema...
Mama Sarah Obama kuzikwa Jumanne
Na SAMMY WAWERU MAMA Sarah Obama, ambaye ni nyanya ya aliyekuwa Rais wa Amerika, Bw Barack Obama atazikwa kesho, Jumanne kwa mujibu wa...
Gavana Nyong’o aongoza Nyanza kumuomboleza Mama Sarah Obama
SAMMY WAWERU na WANGU KANURI GAVANA wa Kisumu Prof Anyang’ Nyong’o ameongoza wakazi wa kaunti za eneo la Nyanza kumuomboleza nyanya...
TANZIA: Mama Sarah Obama afariki
Na SAMMY WAWERU NYANYA ya aliyekuwa Rais wa Amerika, Bw Barrack Obama, Mama Sarah Obama amefariki. Mama Sarah, ambaye alikuwa mjane, mke...
Obama amshutumu Trump kwa kuhujumu demokrasia
Na MASHIRIKA WASHINGTON D.C., Amerika RAIS mstaafu wa Amerika Barack Obama amemshtumu vikali Rais Donald Trump kwa kukataa kukubali...
- by adminleo
- June 17th, 2020
Jamaa za Obama wararuana mitandaoni
Na VALENTINE OBARA NDUGU wawili wa aliyekuwa Rais wa Amerika, Barack Obama, Jumanne walianika tofauti zao za kifamilia peupe...
- by adminleo
- April 21st, 2019
Mama Sarah Obama kuadhimisha umri wa miaka 97
Na BRIAN NGUGI NYANYAKE Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama, Bi Sarah Obama leo ataadhimisha miaka 97 tangu kuzaliwa Jumatatu kwenye...
- by adminleo
- July 17th, 2018
Kuria akaangwa kusema Obama alitoa hotuba ya kudhalilisha Nyanza
NA PETER MBURU Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria amejipata kubanwa na Wakenya katika mtandao wa Facebook, baada ya kuchapisha ujumbe wa...
- by adminleo
- July 17th, 2018
Wakazi wa Kogelo watamauka kuzuiwa kuhudhuria hotuba ya Obama
Na WANDERI KAMAU WAKAZI wa kijiji cha Kogelo, Kaunti ya Siaya Jumatatu walipigwa na butwaa baada ya kukosa kuhutubiwa na aliyekuwa rais...
- by adminleo
- July 16th, 2018
Wakazi wamtaka Obama akubali chuo kikuu kipewe jina lake
Na Victor Raballa WAKAZI wa K'Ogelo wanamtaka aliyekuwa rais wa Amerika, Barack Obama, akubali hadharani chuo kikuu kinachopangiwa...
- by adminleo
- July 12th, 2018
Obama kukutana na Uhuru na Raila
Na CECIL ODONGO ALIYEKUWA rais wa Amerika Barack Obama atafanya kikao na rais Uhuru Kenyatta na aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga...