• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM
Boda ‘fisi’ wa kubeba vipusa bure aacha kazi bei ya petroli ilipopanda

Boda ‘fisi’ wa kubeba vipusa bure aacha kazi bei ya petroli ilipopanda

NA DENNIS SINYO

MASABA, CHEPTAIS

JOMBI aliyekuwa na mazoea ya kubeba vidosho bila kuwalipisha kwenye pikipiki yake, ameacha kazi hiyo baada ya petroli kupanda bei.

Kulingana na mdokezi, jamaa alikuwa na mazoea ya kubeba akina dada bila malipo.

Wenzake walimuonya tabia hiyo ingemletea hasara lakini aliwapuuza.

Majuzi, jamaa aliamua kuacha biashara hiyo kwa kukosa pesa za kununua petroli.

Aliambiwa, “Umejistaafisha mapema kwa kuweka tamaa mbele.”

  • Tags

You can share this post!

Mwanamuziki Dennis Mutara hatimaye aruhusiwa kuondoka...

Mshirikishi wa Usalama awataka wakazi kuwasaidia maafisa...

T L