• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 3:09 PM
Hatima ya Matiang’i iko mikononi mwa DPP Haji

Hatima ya Matiang’i iko mikononi mwa DPP Haji

NA HILLARY KIMUYU

MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji amesema atatoa uamuzi iwapo idara hiyo itamshtaki aliyekuwa Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang’i kuhusiana na uvamizi unaodaiwa kufanyika nyumbani kwake katika mtaa wa Karen.

Hii ni baada ya mawakili wa Dkt Matiang’i kusema polisi walikuwa wamesema watamshtaki kwa makosa mawili.

  • Tags

You can share this post!

Doria na vizuizi hapa na pale Ruto akijipanga kukabili Raila

Sh100m kutumika kujenga shule zilizoharibiwa na majangili

T L