• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

AFCON: Ghana yatuma mashabiki 100 Cairo

Na JOHN ASHIHUNDU Serikali ya Ghana itagharamia mashabiki 100 kwenda nchini Misri kushangilia timu ya taifa, The Black Stars wakati wa...

AFCON: Ahmed Musa na Shehu watua Nigeria

Na JOHN ASHIHUNDU MARA tu baada ya kumalizika kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, nyota wawili Ahmed Musa na Abdullahi Shehu wamewasili...

AFCON: Zimbabwe kupasha misuli joto dhidi ya Nigeria

Na JOHN ASHIHUNDU Kikosi cha wanasoka 26 cha timu ya taifa ya Zimbabwe maarufu kama Warriors, kitatua nchini Nigeria Alhamisi kwa ndege...

AFCON: Ghana yatua kambini Abu Dhabi kwa mazoezi

Na JOHN ASHIHUNDU Wachezaji wote 29 wa kikosi cha Black Stars ya Ghana wamefika kambini Abu Dhabi kwa maandalizi makali kabla ya...

Mane kushinda UEFA kwaipa Senegal motisha kufukuzia taji la Afcon

Na GEOFFREY ANENE WAPINZANI wa Kenya katika mechi za makundi za Kombe la Afrika, Senegal wamepata motisha ya kusema watafukuzia taji...

Ghana wajishaua taji la AFCON ni lao

NA CECIL ODONGO RAIS wa Shirikisho la Soka la Ghana Dkt Kofi Amoah amejipiga kifua kwa kusema kwamba wakati umetimia kwa Black Stars...

Majogoo watakaowika katika fainali za AFCON

Na CHRIS ADUNGO MWISHONI mwa wiki jana, Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) lilitoa droo ya fainali za kuwania ufalme wa Kombe la...

AFCON: Kenya yatupwa katika chaka la simba

Na GEOFFREY ANENE KENYA itatoana jasho na Senegal anayochezea Sadio Mane, Algeria na majirani Tanzania katika mechi za Kundi C za Kombe la...

Harambee Stars roho mkononi droo ya Afcon ikitangazwa Cairo

Na GEOFFREY ANENE DROO ya makala ya 32 ya Kombe la Afrika (AFCON) 2019 itafanyika mjini Giza nchini Misri Ijumaa saa tatu usiku saa za...

TAHARIRI: Kufuzu Afcon sio hoja, tujiandae kwa mtihani kamili

NA MHARIRI KWANZA ni pongezi kwa eneo la Afrika Mashariki kwa kuingiza timu nne katika fainali za Mashindano ya Kombe la Afrika (AFCON)....

FAHARI TELE: Historia mataifa yote ya Afrika Mashariki kutua fainali AFCON

Na MASHIRIKA DAR ES SALAAM, TANZANIA TANZANIA waliwapepeta Uganda 3-0 jijini Dar es Salaam mnamo Jumapili na kufuzu kwa fainali za Kombe...

Afrika Kusini yadai Misri ilipendelewa kuandaa AFCON

NA CECIL ODONGO  SHIRIKISHO la soka la Afrika Kusini (SAFA) limelalamikia vikali jinsi mchakato mzima wa kuteua taifa la kuandaa fainali...