Tag: AFCON
- by adminleo
- June 5th, 2019
AFCON: Ghana yatuma mashabiki 100 Cairo
Na JOHN ASHIHUNDU Serikali ya Ghana itagharamia mashabiki 100 kwenda nchini Misri kushangilia timu ya taifa, The Black Stars wakati wa...
- by adminleo
- June 5th, 2019
AFCON: Ahmed Musa na Shehu watua Nigeria
Na JOHN ASHIHUNDU MARA tu baada ya kumalizika kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, nyota wawili Ahmed Musa na Abdullahi Shehu wamewasili...
- by adminleo
- June 5th, 2019
AFCON: Zimbabwe kupasha misuli joto dhidi ya Nigeria
Na JOHN ASHIHUNDU Kikosi cha wanasoka 26 cha timu ya taifa ya Zimbabwe maarufu kama Warriors, kitatua nchini Nigeria Alhamisi kwa ndege...
- by adminleo
- June 5th, 2019
AFCON: Ghana yatua kambini Abu Dhabi kwa mazoezi
Na JOHN ASHIHUNDU Wachezaji wote 29 wa kikosi cha Black Stars ya Ghana wamefika kambini Abu Dhabi kwa maandalizi makali kabla ya...
- by adminleo
- June 2nd, 2019
Mane kushinda UEFA kwaipa Senegal motisha kufukuzia taji la Afcon
Na GEOFFREY ANENE WAPINZANI wa Kenya katika mechi za makundi za Kombe la Afrika, Senegal wamepata motisha ya kusema watafukuzia taji...
- by adminleo
- April 15th, 2019
Ghana wajishaua taji la AFCON ni lao
NA CECIL ODONGO RAIS wa Shirikisho la Soka la Ghana Dkt Kofi Amoah amejipiga kifua kwa kusema kwamba wakati umetimia kwa Black Stars...
- by adminleo
- April 15th, 2019
Majogoo watakaowika katika fainali za AFCON
Na CHRIS ADUNGO MWISHONI mwa wiki jana, Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) lilitoa droo ya fainali za kuwania ufalme wa Kombe la...
- by adminleo
- April 12th, 2019
AFCON: Kenya yatupwa katika chaka la simba
Na GEOFFREY ANENE KENYA itatoana jasho na Senegal anayochezea Sadio Mane, Algeria na majirani Tanzania katika mechi za Kundi C za Kombe la...
- by adminleo
- April 12th, 2019
Harambee Stars roho mkononi droo ya Afcon ikitangazwa Cairo
Na GEOFFREY ANENE DROO ya makala ya 32 ya Kombe la Afrika (AFCON) 2019 itafanyika mjini Giza nchini Misri Ijumaa saa tatu usiku saa za...
- by adminleo
- March 26th, 2019
TAHARIRI: Kufuzu Afcon sio hoja, tujiandae kwa mtihani kamili
NA MHARIRI KWANZA ni pongezi kwa eneo la Afrika Mashariki kwa kuingiza timu nne katika fainali za Mashindano ya Kombe la Afrika (AFCON)....
- by adminleo
- March 26th, 2019
FAHARI TELE: Historia mataifa yote ya Afrika Mashariki kutua fainali AFCON
Na MASHIRIKA DAR ES SALAAM, TANZANIA TANZANIA waliwapepeta Uganda 3-0 jijini Dar es Salaam mnamo Jumapili na kufuzu kwa fainali za Kombe...
- by adminleo
- January 10th, 2019
Afrika Kusini yadai Misri ilipendelewa kuandaa AFCON
NA CECIL ODONGO SHIRIKISHO la soka la Afrika Kusini (SAFA) limelalamikia vikali jinsi mchakato mzima wa kuteua taifa la kuandaa fainali...