Tag: ajira
- by adminleo
- November 5th, 2019
Wakazi wa Kariminu waandamana kushinikiza wapewe ajira katika mradi wa Kariminu 11
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa kijiji cha Kariminu, eneo la Gatundu Kaskazini, wanawalaumu wasimamizi wa kampuni ya China ambayo...
- by adminleo
- October 23rd, 2019
Mahakama yazuia Mary Wambui kuongoza mamlaka ya kitaifa kuhusu ajira
Na SAM KIPLAGAT MAHAKAMA ya Masuala ya Leba imemzuia aliyekuwa mbunge wa Othaya Mary Wambui kuongoza Mamlaka ya Kitaifa kuhusu Ajira...
- by adminleo
- October 18th, 2019
MBURU: Ni wazi sasa, ajira kwa vijana ni ndoto ya mchana
Na PETER MBURU MASHIRIKA mbalimbali ya kiserikali yanaonekana kuwa na ari spesheli ya kuwaajiri wazee wakongwe wakati taifa linazongwa...
- by adminleo
- October 15th, 2019
Mary Wambui ateuliwa serikalini
Na CHARLES WASONGA ALIYEKUWA Mbunge wa Othaya Mary Wambui ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Mamlaka ya Kitaifa ya Ajira (NEA). Kwenye...
- by adminleo
- August 6th, 2019
OBARA: Tutatue vikwazo vya ajira badala ya kuimbaimba ‘Vijana Wajiajiri’
Na VALENTINE OBARA MAHALI tulipofika sasa, wimbo huu wa ‘Vijana Wajiajiri’ wasinya! Kila mara mdahalo unapoibuka kuhusu janga la...
- by adminleo
- July 24th, 2019
Pendekezo vijana wasio na kazi wapewe Sh48,000 na serikali
Na PETER MBURU WABUNGE wawili wanapendekezea bunge kubadili sheria, ili vijana ambao hawajaajiriwa wawe wakipewa kiwango fulani cha pesa...
- by adminleo
- July 16th, 2019
Wengi hawana ujuzi wa kazi licha ya kufuzu vyuoni – Ripoti
Na CECE SIAGO VIJANA wengi katika kaunti za Pwani wanakosa kujiunga na vyuo vikuu baada ya kikamilisha masomo katika shule za...
- by adminleo
- June 16th, 2019
‘Kijana fupi nono round’ akataa kazi ya Ruto
Na OSCAR KAKAI MWANASIASA wa Kaunti ya Pokot Magharibi, Dennis Ruto Kapchok, almaarufu Mulmulwas, amekataa kazi aliyoahidiwa na Naibu...
- by adminleo
- March 27th, 2019
Wakenya wanataka kuhamia majuu kusaka ajira – Ripoti
Na LEONARD ONYANGO WAKENYA zaidi ya thuluthi moja, wengi wao wakiwa wanaume, wanatamani kuhamia mataifa ya kigeni kwenda kusaka...
- by adminleo
- March 26th, 2019
Yafichuka raia wa kigeni 35,000 wamepata kazi Wakenya wakitaabika
Na CHARLES WASONGA JUMLA ya raia wa kigeni 35, 413 wamepewa leseni za kufanyakazi kazi nchini katika zaidi ya sekta 10 kati ya Julai 1,...
- by adminleo
- March 19th, 2019
Kongamano lapendekeza mtaala mpya kukabili ukosefu wa ajira
NA RICHARD MAOSI Viongozi wa kidini kutoka Kaunti ya Nakuru, wameomba serikali kusawazisha mtaala wa elimu ili kuimarisha utangamano...
- by adminleo
- February 24th, 2019
TAHARIRI: Vijana wakipewa ajira watalipa mikopo ya Helb
NA MHARIRI SERIKALI inafaa kutafuta mbinu bora zaidi za kufuatilia watu waliopewa mikopo ya elimu ya juu kupitia bodi ya HELB, badala ya...