Tag: bandari
- by adminleo
- January 14th, 2019
Nyumba 40 zilizojengwa kwa ardhi ya KPA kubomolewa
MOHAMED AHMED na KALUME KAZUNGU TAKRIBAN nyumba 40 ambazo zimejengwa katika ardhi za bandari ya Mombasa ambazo zimenyakuliwa pamoja na...
- by adminleo
- January 2nd, 2019
Bandari yetu haitatwaliwa, tutakopa zaidi kutoka Uchina – Uhuru
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta amekana madai kuwa Bandari ya Mombasa ilitumiwa kama dhamana kwa mkopo kutoka kwa Benki ya Exim...
- by adminleo
- December 28th, 2018
Hatuna nia ya kutwaa bandari ya Mombasa, China sasa yasema
Na EDWIN OKOTH SERIKALI ya China imekanusha kuorodhesha Bandari ya Mombasa kama dhamana ya kufadhili ujenzi wa reli ya kisasa nchini...
- by adminleo
- December 20th, 2018
DENI: Huenda Kenya ikapokonywa Bandari ya Mombasa na Uchina
NA BENSON MATHEKA KENYA imo hatarini kupokonywa bandari ya Mombasa na serikali ya Uchina ili kulipia sehemu ya deni kubwa ambalo...
- by adminleo
- November 16th, 2018
Aliyedandia meli 1991 Kilindini na kupotea atafutwa
Na SAMUEL BAYA Familia moja katika eneo la Mtongwe, Mombasa sasa inatafuta usaidizi wa kumpata mwanao aliyepotea mwaka wa...
- by adminleo
- November 2nd, 2018
Mzozo Kebs ikizuia bidhaa za Coca-Cola bandarini
Na BERNARDINE MUTANU Mgogoro umeibuka kati ya kampuni ya Coca-Cola na Mamlaka ya Kukadiria Ubora wa Bidhaa (Kebs) kwa sababu ya bidhaa za...
- by adminleo
- October 30th, 2018
KPA, Mkuu wa Sheria wapinga kaunti isimamie bandari ya Mombasa
Na PHILIP MUYANGA Halmashauri ya Bandari nchini (KPA) na mkuu wa sheria wamepinga kesi iliyowasilishwa mahakamani na wakazi wa Mombasa...
- by adminleo
- August 13th, 2018
Bandari ya Kenya yalenga viwango vya kimataifa
Na KAZUNGU SAMUEL HALMASHAURI ya Bandari nchini (KPA) imeanza kuwekeza na kuifanya bandari ya Mombasa kuwa bora barani Afrika katika...
- by adminleo
- June 5th, 2018
Viongozi Pwani wataka ‘mtu wao’ ateuliwe kuongoza Bandari ya Mombasa
Na WINNIE ATIENO BAADHI ya viongozi kutoka Pwani sasa wanataka serikali kuu kumteua Mpwani kuongoza Bandari ya Mombasa baada ya kufutwa...
- by adminleo
- May 8th, 2018
Sukari ya Sh5 bilioni kusalia bandarini
[caption id="attachment_5625" align="aligncenter" width="800"] Jaji Mkuu David Maraga, naibu wake Philomena Mwilu, Majaji Mohammed Ibrahim,...