Tag: bandari
- by adminleo
- August 18th, 2019
Ukarabati Bandari ya Kisumu waumiza wengi kibiashara
Na WAANDISHI WETU MAELFU ya wafanyabiashara katika Kaunti ya Kisumu wanakadiria hasara kubwa baada ya majengo na vibanda vyao...
- by adminleo
- August 6th, 2019
Ghadhabu Pwani agizo la SGR likianza
Na MOHAMED AHMED AGIZO la Serikali kuwa kuanzia Jumatano mizigo yote kutoka Bandari ya Mombasa iwe ikisafirishwa kwa reli ya SGR hadi...
- by adminleo
- July 18th, 2019
Vibarua wa bandarini kuongezewa malipo kutoka Sh250 hadi Sh1,500 kwa siku
ANTHONY KITIMO na PHYLIS MUSASIA WAFANYIKAZI wa vibarua katika Bandari ya Mombasa wanatarajiwa kupata nyongeza ya malipo yao baada ya...
- by adminleo
- July 15th, 2019
Mkataba wa kusimamia bandari wapingwa mahakamani
NA PHILIP MUYANGA CHAMA cha Makuli (DWU) kimewasilisha kesi mahakamani, kupinga makubaliano baina ya Serikali Kuu na kampuni ya kigeni...
- by adminleo
- July 9th, 2019
Wageni kusimamia eneo jipya la mizigo bandari ya Mombasa
NA ANTHONY KITIMO SERIKALI Jumatatu ilikabidhi rasmi kampuni ya kigeni ya Mediterranean Shipping Company (MSC) usimamizi wa sehemu ya...
- by adminleo
- July 4th, 2019
Wabunge Pwani wakosoa sheria inayotoa fursa bandari kubinafsishwa
Na PETER MBURU WABUNGE kutoka eneo la Pwani, Jumatano walieleza kutofurahishwa kwao na mapendekezo ya Rais Uhuru Kenyatta kuhusu mswada...
- by adminleo
- June 28th, 2019
Mzaha wa kupeleka mizigo Nairobi na kuirejesha Mombasa
Na ANTHONY KITIMO WAFANYABIASHARA jijini Mombasa wanaoagiza bidhaa kutoka ng’ambo, wamelalamikia hatua ya serikali kuwaagiza...
- by adminleo
- May 22nd, 2019
Uchina yajitetea tena kuhusu madai ya kutwaa bandari ya Mombasa
Na BERNARDINE MUTANU UCHINA imekana tena madai kuwa imesababisha baadhi ya mataifa kuwa na deni kwa lengo la kutwaa mali...
- by adminleo
- May 21st, 2019
Bandari, Sofapaka ni toka nipite wakiwania namba 2
Na GEOFFREY ANENE MABADILIKO sita yameshuhudiwa kwenye jedwali la Ligi Kuu ya Kenya (KPL) ambayo Gor Mahia inaongoza bila presha kutoka...
- by adminleo
- May 21st, 2019
Bandari FC kuzuru S. Africa ikishinda Sharks Shield Cup
Na ABDULRAHMAN SHERIFF na PHILIP ONYANGO KLABU ya Bandari imeahidiwa kupata zawadi ya ziara ya wiki moja ya mazoezi nchini Afrika Kusini...
- by adminleo
- April 23rd, 2019
Patashika leo K’Ogalo wakiwashukia Bandari katika KPL
Na CECIL ODONGO na CHRIS ADUNGO SOFAPAKA wanaendelea kuselelea kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Kenya (KPL) baada ya kuwakwaruza SoNy...
- by adminleo
- February 4th, 2019
Wazika tofauti zao na kuunga mkono Bandari ya Dongo Kundu
Na HAMISI NGOWA MBUNGE wa Likoni Bi Mishi Mboko na hasimu wake wa kisiasa Suleiman Shakombo, mwishoni mwa wiki waliamua kuzika tofauti...