• Nairobi
  • Last Updated May 7th, 2024 9:48 PM

Ukarabati Bandari ya Kisumu waumiza wengi kibiashara

Na WAANDISHI WETU MAELFU ya wafanyabiashara katika Kaunti ya Kisumu wanakadiria hasara kubwa baada ya majengo na vibanda vyao...

Ghadhabu Pwani agizo la SGR likianza

Na MOHAMED AHMED AGIZO la Serikali kuwa kuanzia Jumatano mizigo yote kutoka Bandari ya Mombasa iwe ikisafirishwa kwa reli ya SGR hadi...

Vibarua wa bandarini kuongezewa malipo kutoka Sh250 hadi Sh1,500 kwa siku

 ANTHONY KITIMO na PHYLIS MUSASIA WAFANYIKAZI wa vibarua katika Bandari ya Mombasa wanatarajiwa kupata nyongeza ya malipo yao baada ya...

Mkataba wa kusimamia bandari wapingwa mahakamani

NA PHILIP MUYANGA CHAMA cha Makuli (DWU) kimewasilisha kesi mahakamani, kupinga makubaliano baina ya Serikali Kuu na kampuni ya kigeni...

Wageni kusimamia eneo jipya la mizigo bandari ya Mombasa

NA ANTHONY KITIMO SERIKALI Jumatatu ilikabidhi rasmi kampuni ya kigeni ya Mediterranean Shipping Company (MSC) usimamizi wa sehemu ya...

Wabunge Pwani wakosoa sheria inayotoa fursa bandari kubinafsishwa

Na PETER MBURU WABUNGE kutoka eneo la Pwani, Jumatano walieleza kutofurahishwa kwao na mapendekezo ya Rais Uhuru Kenyatta kuhusu mswada...

Mzaha wa kupeleka mizigo Nairobi na kuirejesha Mombasa

Na ANTHONY KITIMO WAFANYABIASHARA jijini Mombasa wanaoagiza bidhaa kutoka ng’ambo, wamelalamikia hatua ya serikali kuwaagiza...

Uchina yajitetea tena kuhusu madai ya kutwaa bandari ya Mombasa

Na BERNARDINE MUTANU UCHINA imekana tena madai kuwa imesababisha baadhi ya mataifa kuwa na deni kwa lengo la kutwaa mali...

Bandari, Sofapaka ni toka nipite wakiwania namba 2

Na GEOFFREY ANENE MABADILIKO sita yameshuhudiwa kwenye jedwali la Ligi Kuu ya Kenya (KPL) ambayo Gor Mahia inaongoza bila presha kutoka...

Bandari FC kuzuru S. Africa ikishinda Sharks Shield Cup

Na ABDULRAHMAN SHERIFF na PHILIP ONYANGO KLABU ya Bandari imeahidiwa kupata zawadi ya ziara ya wiki moja ya mazoezi nchini Afrika Kusini...

Patashika leo K’Ogalo wakiwashukia Bandari katika KPL

Na CECIL ODONGO na CHRIS ADUNGO SOFAPAKA wanaendelea kuselelea kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Kenya (KPL) baada ya kuwakwaruza SoNy...

Wazika tofauti zao na kuunga mkono Bandari ya Dongo Kundu

Na HAMISI NGOWA MBUNGE wa Likoni Bi Mishi Mboko na hasimu wake wa kisiasa Suleiman Shakombo, mwishoni mwa wiki waliamua kuzika tofauti...