Tag: bunduki
- by adminleo
- July 25th, 2019
Mbunge ataka wasimamizi wa Nyumba Kumi wapewe bunduki
Na KALUME KAZUNGU MBUNGE Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Lamu, Bi Ruweida Obbo, ameiomba serikali kuwapatia wanachama wa Nyumba Kumi...
- by adminleo
- June 19th, 2019
Uchu wa raia kumiliki bunduki na jinsi ambavyo wanatapeliwa
Na MWANGI MUIRURI MJADALA unaoendelea nchini Kenya kuhusu ufaafu au ubutu wa kuwahami askari rungu umechora taswira ya jinsi wengi...
- by adminleo
- June 12th, 2019
Walinzi wapewe bunduki, PSRA yapendekeza
NA CECIL ODONGO MAMLAKA ya Kusimamia Shughuli za Walinzi wa Kibinafsi Nchini (PSRA) sasa imependekeza walinzi wanaolinda maeneo spesheli...
- by adminleo
- March 11th, 2019
MATHEKA: Mbinu mpya kudhibiti silaha haramu zinafaa
Na BENSON MATHEKA Hatua ya waziri wa usalama wa ndani Fred Matiang'i ya kuagiza wanaomiliki silaha wakaguliwe upya na kupatiwa leseni za...
- by adminleo
- March 10th, 2019
Uhuru apokea leseni mpya ya kumiliki silaha
Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta, Ijumaa alipokea leseni yake mpya ya kisasa ya kumiliki silaha kufuatia agizo lililotolewa na...
- by adminleo
- February 5th, 2019
Mtoto wa miaka 4 ampiga mamake mjamzito risasi
MASHIRIKA Na PETER MBURU MTOTO wa miaka minne kutoka Marekani alimpiga mamake mja mzito risasi wakati alipopata bunduki chini ya...
- by adminleo
- February 4th, 2019
TAHARIRI: Walinzi wote wakaguliwe kabla ya kupewa bunduki
NA MHARIRI WALINZI wa kibinafsi wanatekeleza jukumu muhimu la kulinda mali hapa nchini. Katika nyumba za makazi, biashara na shughuli...
- by adminleo
- January 14th, 2019
Mwanafunzi wa chekechea ashtua shule kufika akiwa na bunduki
MASHIRIKA Na PETER MBURU MTOTO wa miaka sita nchini Marekani alishangaza watu wakati alipofika katika shule ya chekechea anaposomea akiwa...
- by adminleo
- December 11th, 2018
Hofu wafanyabiashara wakilipa wahuni kuua washindani wao
Na NICHOLAS KOMU WAFANYABIASHARA mjini Nyeri sasa wanatumia magenge ya wahalifu kuhangaisha na kuwaua washindani wao wa kibiashara,...
- by adminleo
- June 20th, 2018
Pasta ampiga risasi na kumuua mvamizi mwenye bunduki
Na MASHIRIKA WASHINGTON, AMERIKA PASTA alimpiga risasi na kumuua mvamizi aliyeshambulia duka la jumla la Walmart. Ripoti zilisema...
- by adminleo
- June 7th, 2018
Kobia alimteka nyara na kumtesa raia wa Congo kwa bunduki, mahakama yaambiwa
Na RICHARD MUNGUTI RAIA wa Congo aliyedaiwa kumlaghai mfanyabiashara maarufu wa humu nchini Bw Paul Kobia Sh40 milioni akidai angemuuzia...
- by adminleo
- June 5th, 2018
Hoteli inayowapa wateja ‘bunduki’ kukabiliana na ndege wasumbufu
VALENTINE OBARA Na MASHIRIKA PERTH, AUSTRALIA HUKU Serikali ya Kaunti ya Mombasa ikipanga kutumia Sh30 milioni kuangamiza kunguru...