• Nairobi
  • Last Updated May 20th, 2024 5:55 AM

Drinkwater aharibiwa sura akijaribu kumumunya kidosho wa wenyewe

NA MASHIRIKA NYOTA wa Chelsea ambaye kwa sasa anawachezea Burnley kwa mkopo, Danny Drinkwater, 29, alipokezwa kichapo cha mbwa msikitini...

SING’OKI: Nyota kudumu Chelsea baada ya kukubali mkataba mpya

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza WINGA Callum Hudson-Odoi wa Chelsea amekubali mkataba mpya wa miaka mitano kuendelea kuichezea klabu...

Lampard aahidi kufanya makuu usukani Chelsea

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza FRANK Lampard ameahidi kuendelea kufanya Chelsea kuwa ‘mshindani halisi’ kwenye Ligi Kuu ya...

NIKO TAYARI: Nipeni mikoba ya Chelsea – Lampard

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza KOCHA Frank Lampard atakubali haraka kufanya mazungumzo na Chelsea FC iwapo klabu hiyo ya Stamford...

Sarri aomba ruhusa atoke Chelsea upesi

Na MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA KOCHA Maurizio Sarri amesema yuko tayari kabisa kuachana na Chelsea kipindi hiki cha majira ya...

KWAHERINI: Hazard aaga Chelsea baada ya ushindi

Na MASHIRIKA BAKU, Azerbaijan EDEN Hazard alipachika mabao mawili na kisha kukiri ilikuwa zawadi yake ya mwisho, huku Mbelgiji huyu...

LEO NI LEO: Arsenal na Chelsea nani atawika Europa?

Na MASHIRIKA BAKU, AZERBAIJAN USHINDI kwa Arsenal katika fainali ya leo Jumatano dhidi ya Chelsea katika Europa League utawapa tiketi...

Arsenal, Chelsea katika kibarua kigumu Europa

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza ARSENAL wanaojivunia ushindi wa mabao 3-1 katika mkondo wa kwanza, leo usiku watahitajika kucheza kwa...

Sarri awapa Chelsea malengo ya kutwaa ubingwa wa Uropa

Na MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA KOCHA wa Chelsea, Maurizio Sarri amesema itabidi klabu hiyo ishinde ubingwa wa Europa League ili...

Everton wacharaza Chelsea na kuweka Sarri padogo Stamford

Na MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA MATUMAINI ya Chelsea ya kumaliza kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) ndani ya mduara wa nne-bora...

Azpilicueta lawamani Kepa kukaidi Sarri kwa fainali

NA CECIL ODONGO BAADHI ya Mashabiki wa Chelsea wamemfokea vikali naibu nahodha wa timu hiyo Cesar Azpilicueta kuhusiana na kisa tata...

Kocha Maurizio Sarri atastahimili mawimbi ya misukosuko Chelsea?

Na MASHIRIKA na GEOFFREY ANENE MAURIZIO Sarri atapigwa teke na Chelsea ikipoteza mojawapo ya mechi zake tatu zijazo dhidi ya Malmo (Ligi...