• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 6:50 AM

DIMBA: ‘Big Mo’ Kean ametajwa kama kizazi kipya cha Azzuri

Na GEOFFREY ANENE BIOTY Moise Kean ni mmoja wa wanasoka makinda wanaovuma kwenye Ligi Kuu nchini Ufaransa. Mshambuliaji huyo wa kati...

VIKEMBE: Diogo Jota, nguli wa kukamilisha mavamizi

Na GEOFFREY ANENE DIOGO Jose Teixeira da Silva almaarufu Diogo Jota ni mmoja wa wachezaji wanaovuma uwanjani Anfield na Uingereza kwa...

DIMBA: Dejan, kifaa cha Juve kinachowania tuzo ya ‘Golden Boy’

Na GEOFFREY ANENE DEJAN Kulusevski ni mmoja wa wanasoka makinda ambao kazi yao uwanjani inatambulika katika safu ya katikati barani...

DIMBA: Haaland ni silaha hatari katika ufungaji mabao

Na GEOFFREY ANENE ERLING Braut Haaland ni mmoja wa makinda matata wanaoorodheshwa juu katika ulimwengu wa katika idara ya ushambuliaji...

DIMBA: Dominik Szoboszlai ni kiungo mchawi

Na GEOFFREY ANENE DOMINIK Szoboszlai ni kiungo mshambuliaji aliyejaliwa kipaji cha kupasi mpira na pia ni ‘mchawi’ katika upigaji wa...

DIMBA: Kijana Ferran Torres anawindwa kama mpira wa kona!

Na GEOFFREY ANENE KINDA Ferran Torres ni mchezaji wa klabu ya Valencia nchini Uhispania anayeng’ang’aniwa kama mpira wa kona na...

DIMBA: Kwa chenga tu, mwachie Pulisic

Na GEOFFREY ANENE CHIPUKIZI Christian Pulisic kutoka Amerika anafahamika kwa kasi ya kutisha na chenga zake. Kinda huyu ambaye pia...

DIMBA: Si siri tena! Neymar ala bata na Natalia

Na CHRIS ADUNGO FOWADI mahiri wa Paris Saint-Germain (PSG) na timu ya taifa ya Brazil, Neymar Jr, hachoki kupenda! Nyota huyo, 28,...

DIMBA PWANI: Karate inavyozua msisimko licha ya vizingiti vya udhamini

Na ABDULRAHMAN SHERIFF KARATE ni mojawapo ya michezo ambayo inaendelea kupata umaarufu katika jimbo la Pwani na hasa katika Kaunti ya...

DIMBA: Tierney, ‘ball boy’ aliyegeuka nguli

Na GEOFFREY ANENE ALIKUWA mmoja wa watoto wa kuokota mpira uwanjani (ball boys) wakati Celtic ilishangaza Barcelona 2-1 kupitia mabao ya...

UDAKU: Ni wazi Neymar anakula bata na Paola

Na MWANDISHI WETU NYOTA Neymar Jr amefichua kwamba anatoka kimapenzi na mwigizaji maarufu mzawa wa Mexico, Danna Paola, 24. Hii ni...

DIMBA PWANI: Wadau wa soka watamani kuona timu zaidi za Pwani zikishiriki KPL

Na ABDULRAHMAN SHERIFF WAKATI ambapo imebaki siku moja pekee kuukamilisha mwaka 2019, mashabiki wa kandanda wa ukanda wa Pwani...