Tag: gor mahia
- by adminleo
- October 3rd, 2019
Gor, Zoo kuchezea Afraha nao Bandari wakialika Posta
Na CHRIS ADUNGO na ABDULRAHMAN SHERIFF MCHUANO wa Ligi Kuu ya Kenya (KPL) uliokuwa uwakutanishe Gor Mahia na Zoo Kericho mwishoni mwa...
- by adminleo
- October 2nd, 2019
Gor Mahia wajiandaa kwa kivumbi na Nzoia Sugar leo Jumatano
Na CHRIS ADUNGO MABINGWA mara 18 na washikilizi wa taji la Ligi Kuu ya Kenya (KPL), Gor Mahia wameratibiwa leo Jumatano kuvaana na Nzoia...
- by adminleo
- October 1st, 2019
Gor Mahia wajinolea ligi baada ya fedheha CAF
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa Kenya, Gor Mahia walirejelea mazoezi Jumatatu baada ya kubanduliwa nje ya soka ya Klabu Bingwa Afrika...
- by adminleo
- September 18th, 2019
Mechi za nyumbani tukichezea Kisumu tunapata hasara – Gor Mahia
NA CECIL ODONGO MIBABE wa soka nchini Gor Mahia wamefutilia mbali mechi zao zote za nyumbani katika uga wa Moi mjini Kisumu kutokana na...
- by adminleo
- September 17th, 2019
Mashabiki wa Gor Mahia wasema kuondoa USM Alger ni muujiza
Na GEOFFREY ANENE KICHAPO cha Gor Mahia cha mabao 4-1 mikononi mwa wenyeji wao USM Alger ya Algeria katika mechi ya Klabu Bingwa Afrika...
- by adminleo
- September 3rd, 2019
Gor Mahia kileleni ligi ikipisha mechi za mataifa kirafiki
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya Gor Mahia FC imechukua uongozi wa mapema wa Ligi Kuu ya msimu 2019-2020, ambayo itarejea Septemba 14 baada ya...
- by adminleo
- August 28th, 2019
Gozi kati ya Gor na Tusker sasa kusakatiwa Kisumu
Na CHRIS ADUNGO MABINGWA mara 18 na washikilizi wa taji la Ligi Kuu ya Kenya (KPL), Gor Mahia wameratibiwa kufungua kampeni zao za msimu...
- by adminleo
- August 27th, 2019
K’Ogalo, Bandari kunyanyuana na wazito wa Afrika
Na GEOFFREY ANENE WAWAKILISHI wa Kenya katika soka ya Afrika, Gor Mahia (Klabu Bingwa) na Bandari (Kombe la Mashirikisho) watalazimika...
- by adminleo
- July 31st, 2019
K’Ogalo yapangua kipute cha kirafiki kati yao na Al Hilal
Na CHRIS ADUNGO MCHUANO wa kirafiki uliokuwa uwakutanishe mabingwa mara 18 na washikilizi wa taji la Ligi Kuu ya Kenya (KPL), Gor Mahia...
- by adminleo
- July 21st, 2019
Gor na Bandari wafahamu wapinzani wao Klabu Bingwa Afrika
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA mara 18 wa Ligi Kuu ya Kenya, Gor Mahia watasafiri hadi nchini Burundi kwa mechi yao ya raundi ya kwanza ya...
- by adminleo
- July 17th, 2019
Gor Mahia kwenye mizani ya Green Eagles ya Zambia
Na CHRIS ADUNGO KOCHA Hassan Oktay wa Gor Mahia amewaonya wachezaji wake dhidi ya utepetevu watakaposhuka leo Jumatano dimbani kuvaana...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
Wasekao! Gor watwaa taji la 18, kulihifadhi milele
Na JOHN ASHIHUNDU GOR Mahia walidhihirisha uhodari wao Jumatano kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Kenya (KPL) mapema zikisalia mechi...