Tag: gor mahia
- by adminleo
- May 19th, 2019
#MashemejiDerby: Kivumbi Kasarani
Na GEOFFREY ANENE Kivumbi kinatarajiwa katika mechi inayosubiriwa kwa hamu kubwa katika kalenda ya soka ya Kenya wakati mahasimu wa...
- by adminleo
- May 17th, 2019
Msisimko Ingwe na Gor zikionana tena debi ya KPL
Na JOHN ASHIHUNDU MAHASIMU wa jadi, AFC Leopards na Gor Mahia watakutana Jumapili kwa mara ya mwisho msimu huu katika mechi ya mkondo wa...
- by adminleo
- April 23rd, 2019
Patashika leo K’Ogalo wakiwashukia Bandari katika KPL
Na CECIL ODONGO na CHRIS ADUNGO SOFAPAKA wanaendelea kuselelea kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Kenya (KPL) baada ya kuwakwaruza SoNy...
- by adminleo
- April 19th, 2019
Wanasoka wa Gor Mahia kutemwa kwa utundu wao
Na JOHN ASHIHUNDU na CECIL ODONGO MWENYEKITI wa Gor Mahia, Ambrose Rachier amewashutumu wachezaji wake kwa kusaliti timu hiyo wakati wa...
- by adminleo
- April 18th, 2019
Mechi ya Gor, Homeboyz FC yapangwa upya
Na CHRIS ADUNGO MCHUANO wa kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Kenya (KPL) uliokuwa uwakutanishe Gor Mahia na Kakamega Homeboyz hii leo...
- by adminleo
- April 16th, 2019
Gor yasagwasagwa na Berkane na kufunganya virago soka ya CAF
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa Kenya, Gor Mahia wanatarajiwa kurejea nchini leo Jumanne usiku baada ya kampeni yao ya kusonga mbele kwenye...
- by adminleo
- April 9th, 2019
Mashabiki wamlia Rachier Gor ikining’inia pabaya CAF
Na GEOFFREY ANENE MASHABIKI wa Gor Mahia, wanaofahamika kwa jina la utani kama The Green Army, wameelekeza bunduki zao kwa viongozi wa...
- by adminleo
- March 29th, 2019
Pigo kwa Gor wachezaji 4 muhimu kukosa mechi ya Berkane
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa Kenya, Gor Mahia watakosa huduma muhimu za wachezaji Haron Shakava, Shafik Batambuze, Jacques Tuyisenge na...
- by adminleo
- March 27th, 2019
Gor waendea Zoo, Tusker ikiwaalika Sharks gozini KPL
Na CHRIS ADUNGO MABINGWA watetezi na wafalme mara 17 wa Ligi Kuu ya KPL, Gor Mahia watakuwa leo Jumatano wageni wa Zoo mjini Kericho...
- by adminleo
- March 21st, 2019
Ni afueni kwa Gor waratibu wa KPL wakipangua gozi
Na CHRIS ADUNGO VINARA wa kampuni ya KPL inayoendesha kampeni za Ligi Kuu ya humu nchini hatimaye wameahirisha mechi iliyokuwa...
- by adminleo
- March 20th, 2019
Mtihani mgumu kwa Ulinzi ikivaana na Tusker FC ligini
Na CHRIS ADUNGO FATAKI zinatarajiwa leo Jumatano kulipuka uwanjani Ruaraka wakati Tusker FC watakapokuwa wenyeji wa wanajeshi wa Ulinzi...
- by adminleo
- March 19th, 2019
Gor kumjua Jumatano mpinzani wao wa nane-bora katika CAF
Na GEOFFREY ANENE GOR MAHIA iliweka hai matumaini ya kunyakua tuzo ya washindi ya Sh125.4 milioni baada ya kutinga robo-fainali ya soka ya...