• Nairobi
  • Last Updated May 12th, 2024 5:17 PM

Mzozo wa wanamuziki kutoka Mlima Kenya wafanya kikao chao na Uhuru kufutwa

NDUNGU GACHANE na VALENTINE OBARA SERIKALI Jumapili ilifutilia mbali mkutano uliotarajiwa kufanyika kesho kati ya Rais Uhuru Kenyatta na...

Uhuru arejea nchini kimya kimya, ajifungia Ikulu kujadili ushuru

Na CHARLES WASONGA BAADA ya kurejea nchini kimyakimya mnamo Jumapili usiku, Rais Uhuru Kenyatta Jumanne alifanya kikao cha faraghani...

Kanze Dena ateuliwa Naibu Msemaji wa Ikulu

Na LEONARD ONYANGO RAIS Uhuru Kenyatta amefanyia mabadiliko Kitengo cha Mawasiliano ya Rais (PSCU) Jumanne huku mtangazaji wa runinga ya...

Prof Ghai ataka fedha zilizotumika na Jubilee Ikulu ziwekwe wazi

Na BENSON MATHEKA SHIRIKA moja lisilo la kiserikali, limeandikia barua Msimamizi wa Ikulu Bw Kinuthia Mbugua, likitaka aeleze kiwango...

Pwani yaapa kujisuka upya kuingia serikalini 2022

Na KAZUNGU SAMUEL VIONGOZI wa Pwani wanapanga kuungana na kuwa katika serikali mwaka wa 2022 na wakapendekeza kuwa Gavana wa Kilifi,...

WASONGA: Ruto anapopinga nyadhifa zaidi, apinge pia ‘ikulu’ yake

Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto amekuwa akijinadi kama kiongozi anayeweka mbele maslahi ya Wakenya wa kawaida, kwa sababu...

‘Mugabe angali na funguo za ofisi ya Ikulu’

Na AFP ALIYEKUWA rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, angali anashikilia funguo za mojawapo ya afisi muhimu ya serikali katika Ikulu. Hayo...