• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Matangazo ya uchezaji kamari ni marufuku – Serikali

Na BERNARDINE MUTANU BODI unayosimamia kamari imepiga marufuku utangazaji wa michezo ya kamari katika vyombo vya habari na mitandao ya...

Aiba mahindi ya mke apate hela za kubet

Na DENNIS SINYO MBAI FARM, KITALE KALAMENI wa hapa alijipata kona mbaya alipofumaniwa akiiba mahindi ya mkewe ili ayauze apate pesa...

Wazee sasa waongoza kwa uchezaji kamari – Ripoti

Na VALENTINE OBARA IDADI kubwa ya Wakenya wanaocheza kamari kila siku ni wazee wa zaidi ya miaka 55, utafiti wa Benki Kuu...

Mshindi wa kamari ajutia kuacha kazi kwa dharau

Na Leah Makena MSAMBWENI, LUNGA LUNGA? Jamaa wa hapa alijutia hatua yake ya kuacha kazi aliposhinda kitita cha pesa kwenye kamari,...

Museveni apiga kamari marufuku Uganda kuokoa vijana

MASHIRIKA Na PETER MBURU RAIS wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni amepiga marufuku uchezaji Kamari wa michezo katika taifa hilo, akiamrisha...

Adaka mkwanja wa Sh150 bilioni kwenye jackpot ya kamari

MASHIRIKA na PETER MBURU MAREKANI MTU mmoja ameshinda dola 1.5 bilioni za Marekani kwenye mchezo wa Kamari, baada ya kununua tiketi yenye...

TAHARIRI: Kampuni za kamari zifanyie spoti hisani

NA MHARIRI BAADA ya serikali kuzipunguzia kampuni za bahati nasibu ushuru kwa asilimia kubwa, itakuwa muhimu kampuni zote kubwa zitumie...

Waililia serikali kuwanasua kutokana na minyororo ya pombe na kamari

NA PETER MBURU WAKAZI wa kijiji cha Turi, Molo katika kaunti ya Nakuru wanalilia serikali kuwakomboa kutokana na mzigo mkubwa wa dawa za...

Mwanamke ajiua baada ya Sh7,000 kumezwa na kamari

BARACK ODUOR na CHARLES WASONGA MWANAMKE mwenye umri wa miaka 29 amejiua katika kaunti ya Homa Bay kwa kuruka kutoka kwa pikipiki ya...

Mke wa mwanamume achukuliwa na mwenzake baada ya kupoteza ubashiri wa mechi

Na CHRIS ADUNGO MWANAMUME mmoja atatazama kupoteza mkewe na kulala chumbani kwa rafiki yake wa kamari kwa wiki nzima baada ya kupoteza...

Takwa la chapati kupikwa mazishini mwa mtoto aliyejinyonga latimizwa

Na JOHN NJOROGE FAMILIA ya mwanafunzi wa darasa la sita wa shule moja eneo la Molo aliyeacha ujumbe wenzake wapikiwe chapati kisha...

Mcheza kamari taabani kwa kuwatusi polisi

[caption id="attachment_1447" align="aligncenter" width="800"] MCHEZAJI kamari Kennedy Okoth Aete akiwa kizimbani Jumanne kwa kosa la...