Tag: kamari
- by adminleo
- May 2nd, 2019
Matangazo ya uchezaji kamari ni marufuku – Serikali
Na BERNARDINE MUTANU BODI unayosimamia kamari imepiga marufuku utangazaji wa michezo ya kamari katika vyombo vya habari na mitandao ya...
- by adminleo
- April 15th, 2019
Aiba mahindi ya mke apate hela za kubet
Na DENNIS SINYO MBAI FARM, KITALE KALAMENI wa hapa alijipata kona mbaya alipofumaniwa akiiba mahindi ya mkewe ili ayauze apate pesa...
- by adminleo
- April 8th, 2019
Wazee sasa waongoza kwa uchezaji kamari – Ripoti
Na VALENTINE OBARA IDADI kubwa ya Wakenya wanaocheza kamari kila siku ni wazee wa zaidi ya miaka 55, utafiti wa Benki Kuu...
- by adminleo
- March 5th, 2019
Mshindi wa kamari ajutia kuacha kazi kwa dharau
Na Leah Makena MSAMBWENI, LUNGA LUNGA? Jamaa wa hapa alijutia hatua yake ya kuacha kazi aliposhinda kitita cha pesa kwenye kamari,...
- by adminleo
- January 23rd, 2019
Museveni apiga kamari marufuku Uganda kuokoa vijana
MASHIRIKA Na PETER MBURU RAIS wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni amepiga marufuku uchezaji Kamari wa michezo katika taifa hilo, akiamrisha...
- by adminleo
- October 25th, 2018
Adaka mkwanja wa Sh150 bilioni kwenye jackpot ya kamari
MASHIRIKA na PETER MBURU MAREKANI MTU mmoja ameshinda dola 1.5 bilioni za Marekani kwenye mchezo wa Kamari, baada ya kununua tiketi yenye...
- by adminleo
- September 27th, 2018
TAHARIRI: Kampuni za kamari zifanyie spoti hisani
NA MHARIRI BAADA ya serikali kuzipunguzia kampuni za bahati nasibu ushuru kwa asilimia kubwa, itakuwa muhimu kampuni zote kubwa zitumie...
- by adminleo
- April 19th, 2018
Waililia serikali kuwanasua kutokana na minyororo ya pombe na kamari
NA PETER MBURU WAKAZI wa kijiji cha Turi, Molo katika kaunti ya Nakuru wanalilia serikali kuwakomboa kutokana na mzigo mkubwa wa dawa za...
- by adminleo
- April 12th, 2018
Mwanamke ajiua baada ya Sh7,000 kumezwa na kamari
BARACK ODUOR na CHARLES WASONGA MWANAMKE mwenye umri wa miaka 29 amejiua katika kaunti ya Homa Bay kwa kuruka kutoka kwa pikipiki ya...
- by adminleo
- April 9th, 2018
Mke wa mwanamume achukuliwa na mwenzake baada ya kupoteza ubashiri wa mechi
Na CHRIS ADUNGO MWANAMUME mmoja atatazama kupoteza mkewe na kulala chumbani kwa rafiki yake wa kamari kwa wiki nzima baada ya kupoteza...
- by adminleo
- March 19th, 2018
Takwa la chapati kupikwa mazishini mwa mtoto aliyejinyonga latimizwa
Na JOHN NJOROGE FAMILIA ya mwanafunzi wa darasa la sita wa shule moja eneo la Molo aliyeacha ujumbe wenzake wapikiwe chapati kisha...
- by adminleo
- February 14th, 2018
Mcheza kamari taabani kwa kuwatusi polisi
[caption id="attachment_1447" align="aligncenter" width="800"] MCHEZAJI kamari Kennedy Okoth Aete akiwa kizimbani Jumanne kwa kosa la...