• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 6:39 PM

Kabras, KCB zaingia fainali ya Kenya Cup mwaka wa tatu mfululizo

Na GEOFFREY ANENE KWA msimu wa tatu mfululizo, fainali ya Lig Kuu ya raga nchini almaarufu Kenya Cup itakutanisha Kabras Sugar na KCB...

Wengi kupoteza ajira National Bank ikinunuliwa na KCB

Na BERNARDINE MUTANU Huenda watu zaidi wakapoteza kazi katika sekta ya benki kutokana na ongezeko la benki zinazoungana. Benki ya KCB...

KCB kuokoa pesa za mlipa ushuru ikununua National Bank

Na BERNARDINE MUTANU Benki ya National inatathmini ombi la Benki ya KCB la kutwaa usimamizi wa benki hiyo asilimia mia kwa...

KCB yaungana na benki ya Morocco kufanya biashara kimataifa

Na BERNARDINE MUTANU Benki ya Kenya Commercial imetia saini mkataba na Benki ya Attijariwafa ya Morocco kwa lengo la kuimarisha biashara...

KCB yazoa faida ya Sh12 bilioni kwa miezi 6

Na BERNARDINE MUTANU Benki ya Kenya Commercial imetangaza ongezeko la faida la asilimia 18 baada ya ushuru katika miezi ya mwanzo ya...

KCB washindwa kutwaa ubingwa wa voliboli Rwanda

Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa Afrika mwaka 2006, KCB walikamilisha Voliboli ya Rwanda Genocide Memorial katika nafasi ya pili baada ya...

KCB yatuza kikosi cha voliboli

Na CHRIS ADUNGO JITIHADA za wanavoliboli wa kikosi cha KCB zilitambuliwa Jumanne na Benki ya Kenya Commercial iliyowatuza jumla ya...

Pesa zenu zi salama, KCB yawahakikishia wateja waliolalamika kupoteza maelfu kwa akaunti

Na BERNARDINE MUTANU Benki ya KCB imejitetea kuhusiana na madai kuwa pesa za wateja wake zilikuwa zikipunguzwa bila wao...

KCB yasema kiwango cha riba kimeipunguzia mapato

Na BERNARDINE MUTANU Benki ya KCB imetangaza faida ya Sh19.7 bilioni mwaka wa 2017 baada ya kutozwa ushuru. Faida hiyo haikupanda, suala...

Nani ataibwaga KCB kwenye Ligi Kuu ya Raga?

[caption id="attachment_2157" align="aligncenter" width="800"] Mchezaji wa timu ya Impala Micheal Mugo (kushoto) akabiliana na Nesta Oketch...