Tag: kdf
Afiza wa zamani wa KDF asema polisi walitaka kumtia adabu
Na RICHARD MUNGUTI AFISA wa Majeshi ya Kenya (KDF) aliyesimamishwa kazi Jumatatu alitoboa kortini siri ya polisi mbele ya hakimu mkuu...
Sikujua nguo nilizouziwa ni sare za kijeshi, muuzaji mitumba ajitetea kortini
Na RICHARD MUNGUTI MUUZAJI nguo kuu kuu almaarufu mitumba alishtakiwa Jumanne kwa kupatikana na sare za kijeshi. Samuel Waithaka Kamau...
Sh50 bilioni zaishia msituni
Na KALUME KAZUNGU SERIKALI imetumia zaidi ya Sh50 bilioni kukabiliana na magaidi wa Al-Shabaab katika Msitu wa Boni, Kaunti ya...
- by adminleo
- May 28th, 2020
Mwanajeshi na polisi waliofyatuliana risasi kimakosa wafariki
Na FARHIYA HUSSEIN MWANAJESHI na polisi waliopata majeraha kwa kufyatuliana risasi kimakosa wamefariki kutokana na majeraha waliyopata...
- by adminleo
- May 27th, 2020
Wanajeshi wawili na polisi wauguza majeraha baada ya kushambuliana kimakosa
Na FARHIYA HUSSEIN WANAJESHI wawili kutoka kikosi cha Kenya (KDF) na polisi mmoja wanaendelea kuuguza majeraha waliyopata baada ya...
- by adminleo
- December 23rd, 2019
Jeshi la KDF halitatoka Somalia – Mwathethe
Na WACHIRA MWANGI Wanajeshi wa Kenya hawataondoka Somalia hadi nchi hiyo iwe huru kutokana na mashambulio ya Al-Shabaab, Mkuu wa Majeshi...
- by adminleo
- December 1st, 2019
Kilio KDF wanatesa wakazi Tana River
NA STEPHEN ODUOR VIONGOZI wa kidini katika eneo bunge la Garsen, kaunti ya Tana River wamelalamika kwamba wanateswa na wanajeshi wa Kenya...
- by adminleo
- November 24th, 2019
Ulinzi mkali kamanda akizikwa, mke asusia
Na STEVE NJUGUNA Kamanda wa zamani wa kikosi cha jeshi la angani Kenya, Meja Jenerali Duncan Kireri Wachira, hatimaye alizikwa Ijumaa...
- by adminleo
- November 23rd, 2019
Rais Kenyatta aagiza timu za uokozi KDF na idara ya polisi zipelekwe Pokot Magharibi
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta ameagiza timu za uokozi kutoka kwa wanajeshi wa ulinzi Kenya (KDF) na idara ya polisi kupelekwa...
- by adminleo
- October 28th, 2019
Usajili wa makurutu wa KDF kuanza Novemba 27
Na CHARLES WASONGA SHUGHULI ya kuwasajili makurutu wa Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) sasa itaanza Novemba 27, kwa mujibu wa makao makuu...
- by adminleo
- August 16th, 2019
KDF wateka mtaa Mombasa
Na HAMISI NGOWA WANAJESHI wa kikosi cha Majini cha KDF (Kenya Navy) Jumanne usiku waliteka mtaa wa Mtongwe katika eneo la Likoni, Kaunti...
- by adminleo
- August 6th, 2019
Afisa wa KDF akana kukopeshwa Sh1.3m
Na RICHARD MUNGUTI AFISA wa KDF alishtakiwa Jumanne kwa kosa la kughushi barua na kupokea mkopo wa Sh1.3 milioni kutoka kwa benki ya...