• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 10:15 PM

Afiza wa zamani wa KDF asema polisi walitaka kumtia adabu

Na RICHARD MUNGUTI AFISA wa Majeshi ya Kenya (KDF) aliyesimamishwa kazi Jumatatu alitoboa kortini siri ya polisi mbele ya hakimu mkuu...

Sikujua nguo nilizouziwa ni sare za kijeshi, muuzaji mitumba ajitetea kortini

Na RICHARD MUNGUTI MUUZAJI nguo kuu kuu almaarufu mitumba alishtakiwa Jumanne kwa kupatikana na sare za kijeshi. Samuel Waithaka Kamau...

Sh50 bilioni zaishia msituni

Na KALUME KAZUNGU SERIKALI imetumia zaidi ya Sh50 bilioni kukabiliana na magaidi wa Al-Shabaab katika Msitu wa Boni, Kaunti ya...

Mwanajeshi na polisi waliofyatuliana risasi kimakosa wafariki

Na FARHIYA HUSSEIN MWANAJESHI na polisi waliopata majeraha kwa kufyatuliana risasi kimakosa wamefariki kutokana na majeraha waliyopata...

Wanajeshi wawili na polisi wauguza majeraha baada ya kushambuliana kimakosa

Na FARHIYA HUSSEIN WANAJESHI wawili kutoka kikosi cha Kenya (KDF) na polisi mmoja wanaendelea kuuguza majeraha waliyopata baada ya...

Jeshi la KDF halitatoka Somalia – Mwathethe

Na WACHIRA MWANGI Wanajeshi wa Kenya hawataondoka Somalia hadi nchi hiyo iwe huru kutokana na mashambulio ya Al-Shabaab, Mkuu wa Majeshi...

Kilio KDF wanatesa wakazi Tana River

NA STEPHEN ODUOR VIONGOZI wa kidini katika eneo bunge la Garsen, kaunti ya Tana River wamelalamika kwamba wanateswa na wanajeshi wa Kenya...

Ulinzi mkali kamanda akizikwa, mke asusia

Na STEVE NJUGUNA Kamanda wa zamani wa kikosi cha jeshi la angani Kenya, Meja Jenerali Duncan Kireri Wachira, hatimaye alizikwa Ijumaa...

Rais Kenyatta aagiza timu za uokozi KDF na idara ya polisi zipelekwe Pokot Magharibi

Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta ameagiza timu za uokozi kutoka kwa wanajeshi wa ulinzi Kenya (KDF) na idara ya polisi kupelekwa...

Usajili wa makurutu wa KDF kuanza Novemba 27

Na CHARLES WASONGA SHUGHULI ya kuwasajili makurutu wa Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) sasa itaanza Novemba 27, kwa mujibu wa makao makuu...

KDF wateka mtaa Mombasa

Na HAMISI NGOWA WANAJESHI wa kikosi cha Majini cha KDF (Kenya Navy) Jumanne usiku waliteka mtaa wa Mtongwe katika eneo la Likoni, Kaunti...

Afisa wa KDF akana kukopeshwa Sh1.3m

Na RICHARD MUNGUTI AFISA wa KDF alishtakiwa Jumanne kwa kosa la kughushi barua na kupokea mkopo wa Sh1.3 milioni kutoka kwa benki ya...