Tag: kdf
- by adminleo
- April 30th, 2019
Taharuki KDF kuua watu 3 kwa risasi kabla ya kujiangamiza
TITUS OMINDE na WYCLIFFE KIPSANG MWANAJESHI aliyekuwa akifanya kazi katika kambi ya KDF ya Lanet, Nakuru Jumanne aliwaua watu watatu na...
- by adminleo
- January 14th, 2019
Afisa wa KDF taabani kuhusu hongo ya kuingiza vijana kwa jeshi
Na RICHARD MUNGUTI AFISA wa Jeshi Ijumaa alishtakiwa kwa kupokea zaidi ya Sh400,000 kutoka kwa makurutu waliokuwa wanachaguliwa kujiunga...
- by adminleo
- January 8th, 2019
Makurutu wasimulia walivyohongana kuingia KDF
BERNARD ROTICH na DENNIS LUBANGA BAADHI ya makurutu walionaswa wakiwa na barua feki za kujiunga na jeshi wamekubali kwamba walitoa hongo...
- by adminleo
- December 27th, 2018
Tutashughulikia matatizo ya wanajeshi – Omamo
Na COLLINS OMULO WAZIRI wa Ulinzi, Raychelle Omamo amepongeza vikosi vya kijeshi vya Kenya kwa kazi ya kulinda taifa na kupambana na...
- by adminleo
- September 24th, 2018
Al-Shabaab 10 wauawa na KDF Lamu
NA KALUME KAZUNGU MAAFISA wa Jeshi la Kenya (KDF) Jumatatu walifaulu kuwaua magaidi 10 wa kundi la Al-Shabaab na kujeruhi wengine kadhaa...
- by adminleo
- August 29th, 2018
Kilipuzi cha Al Shabaab chaua maafisa 5 wa KDF Lamu
NA KALUME KAZUNGU MAAFISA watano wa jeshi la Kenya (KDF) wameuawa ilhali wengine kumi wakijeruhiwa pale gari walimokuwa wakisafiria...
- by adminleo
- August 13th, 2018
LAMU: KDF yatoa matibabu ya bure kwa wakazi 500
NA KALUME KAZUNGU WAKAZI zaidi ya 500 kutoka Kotile na viungani mwake walipokea matibabu ya bure kutoka kwa maafisa wa jeshi (KDF) kama...
- by adminleo
- August 7th, 2018
Afisa wa KDF jela miaka 20 kwa kunajisi watoto wawili
Na Titus Ominde MWANAJESHI mstaafu, 59, ambaye alipatikana na hatia ya kunajisi watoto wawili wasichana wa umri wa miaka 11 na 12...
- by adminleo
- August 2nd, 2018
Ndani kwa kujifanya afisa wa KDF
Na TITUS OMINDE MWANAMUME ambaye amekuwa akijifanya afisa wa ngazi za juu katika jeshi (KDF) alikamatwa mjini Eldoret na kufikishwa...
- by adminleo
- July 11th, 2018
Mbona KDF wasiondolewe Somalia? ashangaa mbunge
Na CHARLES WASONGA HUENDA serikali ikalazimika kuwaondoa wanajeshi wake (KDF) 4,000 walioko nchini Somalia ikiwa ombi la Mbunge wa...
- by adminleo
- June 22nd, 2018
KDF wanatuhangaisha usiku,walia wakazi wa Mpeketoni
NA KALUME KAZUNGU WAKAZI wa miji ya Mpeketoni, Hongwe na Kibaoni Kaunti ya Lamu wamelalamikia mateso wanayopitia mikononi mwa maafisa wa...
- by adminleo
- April 30th, 2018
KDF anayesherehekea Leba Dei akichuuza maji kwa mkokoteni asimulia alivyoiletea Kenya sifa
NA PETER MBURU HUKU Wakenya wakisubiri kusherehekea siku ya wafanyakazi ya ‘Leba dei’ miaka 55 tangu nchi kupata Uhuru Jumanne, kwa...