Tag: KEBS
- by adminleo
- June 26th, 2018
Wakuu wa KEBS kizimbani kwa jaribio la kuua Wakenya
Na Richard Munguti MAAFISA wakuu katika Shirika la Ubora wa Bidhaa (KeBS), akiwemo Mkurugenzi Mkuu, Charles Ogega Ongwae na maafisa...
- by adminleo
- June 22nd, 2018
Ongwae anaswa kuhusu mbolea feki, achunguzwa kwa sukari ya sumu
Na CHARLES WASONGA MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Kukadiria Ubora wa Bidhaa (KEBS) Charles Ongwae Ijumaa alikamatwa kuhusiana na kashfa...
- by adminleo
- June 14th, 2018
TAHARIRI: Wauzao bidhaa feki ni wauaji, wanyongwe!
Na MHARIRI NI jambo la kusikitisha sana kuwa tamaa ya utajiri wa haraka imewafanya baadhi ya Wakenya kuingiwa na ushetani kiasi cha...
- by adminleo
- June 13th, 2018
Mkurugenzi kizimbani kwa kughushi stempu za KEBS
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa kampuni moja ya kutengeneza vyakula alishtakiwa Ijumaa kwa kuweka stempu ya shirika la ukadiriaji ubora...
- by adminleo
- May 21st, 2018
KEBS kuharibu bidhaa za thamani ya Sh250 milioni kwa kukosa ubora
Na BERNARDINE MUTANU BIDHAA za thamani ya Sh250 milioni humu nchini zitaharibiwa baada ya kukataa kufikisha upeo wa ubora. Bidhaa...
- by adminleo
- March 19th, 2018
TAHARIRI: KEBS na ACA zimeshindwa kukabiliana na bidhaa feki?
Na MHARIRI TANGU mvua ya msimu ilipoanza kunyesha wiki mbili zilizopita, mijengo kadhaa imeporomoka Kiambu, Nairobi na Mombasa. Sababu...