Tag: Kilifi
Maafisa wa DCI wakita kambi Kilifi kupeleleza serikali ya Kingi
Na MAUREEN ONGALA MAAFISA mbalimbali katika serikali ya Kaunti ya Kilifi wameingiwa na uoga baada ya maafisa wa idara ya Upelelezi wa...
Wakazi wa Kilifi walalamika kutembea kilomita 10 kutafuta maji
MAUREEN ONGALA na ANTHONY KITIMO WAKAZI wa Kaunti ya Kilifi wanalalamika kwamba wanaendelea kutozwa pesa na Kampuni ya Maji ya Mariakani...
Wakiukaji kanuni za Covid kuosha vyoo vya umma
CHARLES LWANGA na MUREEN ONGALA SERIKALI ya Kaunti ya Kilifi ikishirikiana na kamati ya usalama, imependekeza kuwa watu watakaopatikana...
- by adminleo
- June 11th, 2020
Mabaki ya kemikali ya usindikaji korosho yadhoofisha afya za wakazi wa Kiwapa
Na MISHI GONGO WAKAZI zaidi ya 4,000 katika kijiji cha Kiwapa, Kaunti ya Kilifi wanaoishi karibu na eneo lililokuwa na kiwanda cha...
- by adminleo
- June 4th, 2020
MAHANGAIKO: Baadhi ya wakazi wa Mayungu wategemea dampo kupata chakula
Na FARHIYA HUSSEIN TUNAKARIBISHWA na taka zilizooza na kuozeana na kutapaka kila mahali huku zikitoa uvundo eneo la Mayungu, Malindi,...
- by adminleo
- June 18th, 2018
KURUNZI YA PWANI: Uchu wa mali, tuhuma za uchawi zinavyowaangamiza wazee Kilifi
Na KAZUNGU SAMUEL Baada ya mvi kuwa chanzo cha mauaji ya wazee katika kaunti ya Kilifi miaka ya awali, mambo sasa ni tofauti. Taifa...
- by adminleo
- May 12th, 2018
Mwanamume kumlipa mkewe wa zamani Sh127,000 kila mwezi
Na RICHARD MUNGUTI JUHUDI za mwanaume za kupunguziwa mzigo wa kumtunza na kumpa mkewe aliyemtaliki kitita cha Sh127,000 kila mwezi maisha...
- by adminleo
- May 7th, 2018
Pwani yaapa kujisuka upya kuingia serikalini 2022
Na KAZUNGU SAMUEL VIONGOZI wa Pwani wanapanga kuungana na kuwa katika serikali mwaka wa 2022 na wakapendekeza kuwa Gavana wa Kilifi,...
- by adminleo
- April 2nd, 2018
AKILIMALI: Kijiji kinachotegemea uchumaji wa chumvi Kilifi
Na KAZUNGU SAMUEL na EUNICE MURATHE HUKU jua kali likiendelea kuwachoma bila huruma, wakazi wanaoishi katika ukanda wa kutoa chumvi wa...
- by adminleo
- February 11th, 2018
Agizo ardhi inayozozaniwa isiingiliwe hadi kesi isikizwe
[caption id="attachment_1207" align="aligncenter" width="800"] Joseph Lenguris (kushoto) akitazama vijana wakiangusha lango la shamba...