• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 2:07 PM

Azimio yavuna Mlimani Kiraitu akitangaza kumuunga Raila

NA GITONGA MARETE MUUNGANO wa Azimio la Umoja ulivuna pakubwa Jumatano, baada ya Gavana wa Meru Kiraitu Murungi kutangaza kwamba...

Kiraitu aambia watu wa Gema wasahau urais

Na DAVID MUCHUI GAVANA wa Meru Kiraitu Murungi ametaka ukanda wa Mlima Kenya usahau hatua ya kutoa rais kwa kipindi cha miaka kumi ijayo...

Gavana Kiraitu aanza rasmi kampeni za 2022

Na DAVID MUCHUI GAVANA wa Meru, Kiraitu Murungi ameanza rasmi kampeni zake za kujipigia debe huku akijivunia miaka 30 ya ushindi katika...

Kiraitu akerwa na matamshi ya Ruto

Na CHARLES WASONGA GAVANA wa Meru Kiraitu sasa amejibu Naibu Rais William Ruto ambaye alimshutumu juzi kwa madai kuwa anaunga mkono...

Kiraitu atakiwa kulipa Sh274m kabla ya kukabidhiwa chama

Na GITONGA MARETE WANASIASA sasa wanatumia mamilioni ya fedha kununua vyama kujiandaa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu ujao. Wengi wa...

Kiraitu atwaa uongozi chama kipya Mlimani

KENNEDY KIMANTHI na GITONGA MARETE GAVANA wa Meru Kiraitu Murungi amethibitisha nafasi yake kama mfalme wa mabadiliko mapya kisiasa...

Kiraitu, Munya wafufua uhasama kuelekea 2022

GITONGA MARETE na DAVID MUCHUI MAHASIMU wa muda mrefu Gavana Kiraitu Murungi na Waziri wa Kilimo Peter Munya wameanzisha upya vita vyao...

JAMVI: Dalili mwafaka umepatikana Mlimani kuhusu kura ya 2022

Na WANDERI KAMAU KAULI za magavana Francis Kimemia (Nyandarua) na Kiraitu Murungi (Meru) kuwa ukanda wa Mlima Kenya utakuwa na mgombea...