Tag: lamu
- by adminleo
- February 19th, 2020
Wakazi wa Mokowe kunufaika na mradi wa ujenzi wa vyoo
Na KALUME KAZUNGU ZAIDI ya wakazi 5,000 wa mji wa Mokowe, Kaunti ya Lamu watanufaika na mradi uliozinduliwa wa Sh17.2 milioni wa ujenzi...
- by adminleo
- February 5th, 2020
Ajeruhiwa baada ya boti kushika moto baharini
Na KALUME KAZUNGU MWANAMUME amejeruhiwa boti alimokuwa amekaa iliposhika moto ghafla na kulipuka mjini Lamu. Bw Shafi Mawiyawiya...
- by adminleo
- January 29th, 2020
Watumiaji barabara ya Lamu-Mombasa walalamikia ongezeko la vizuizi vya maafisa
Na KALUME KAZUNGU MADEREVA na abiria wa mabasi ya usafiri wa umma yanayotumia barabara kuu ya Lamu kuelekea Mombasa wanaiomba idara ya...
- by adminleo
- January 28th, 2020
NMK yapuuzilia mbali madai huenda Lamu ikaondolewa kutoka orodha ya hifadhi za ukale
Na KALUME KAZUNGU HALMASHAURI ya Makavazi na Turathi za Kitaifa nchini (NMK) imeondoa hofu iliyopo kwamba huenda mji wa kale wa Lamu...
- by adminleo
- January 23rd, 2020
‘Inahitajika dharura kuokoa elimu ya mtoto wa kiume Lamu’
Na KALUME KAZUNGU OFISI ya Idara ya Elimu, Kaunti ya Lamu imeelezea hofu yake katika kile imetaja ni kusahaulika kwa elimu ya mtoto wa...
- by adminleo
- January 22nd, 2020
Wakazi wa Mokowe katika kaunti ya Lamu wakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji
Na KALUME KAZUNGU ZAIDI ya wakazi 3,000 wa kijiji cha Mokowe na maeneo jirani, Kaunti ya Lamu wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji...
- by adminleo
- January 21st, 2020
Familia kadhaa zafurushwa kutoka kipande cha ardhi kinachodaiwa kumilikiwa na chuo kikuu
Na KALUME KAZUNGU FAMILIA zaidi ya 10 zinahangaika bila makao Kaunti ya Lamu baada ya kufurushwa kutoka kwa kipande cha ardhi chenye...
- by adminleo
- January 10th, 2020
Lamu ni shwari na salama kwa uwekezaji – viongozi
Na KALUME KAZUNGU SERIKALI ya Kaunti ya Lamu na ile ya kitaifa zinawarai wawekezaji kupuuzilia mbali matukio ya hivi majuzi ambapo eneo...
- by adminleo
- January 2nd, 2020
Washukiwa wa al-Shabaab washambulia basi la kuelekea Lamu, waua watu watatu
Na KALUME KAZUNGU WASHUKIWA wa al-Shabaab wameshambulia basi la kuelekea Lamu eneo la Nyongoro katika Kaunti ya Lamu, ambapo wameua watu...
- by adminleo
- November 15th, 2019
Biashara ya makaa kwa kiasi kikubwa inaficha al-Shabaab, asema Elungata
Na KALUME KAZUNGU MSHIRIKISHI wa Usalama Ukanda wa Pwani, John Elungata, ameamuru maafisa wa Kutunza Misitu (KFS) kuhakikisha shughuli...
- by adminleo
- November 12th, 2019
Serikali yatangaza ufunguzi wa shule tano za Boni
Na KALUME KAZUNGU NI afueni kwa mamia ya wanafunzi wa shule za msingi zilizoko Boni, Kaunti ya Lamu baada ya serikali ya kitaifa...
- by adminleo
- October 25th, 2019
KURUNZI YA PWANI: Kilio cha wataalamu wa kutengeneza maboti Lamu
Na KALUME KAZUNGU MAFUNDI wa kutengeneza maboti na mashua katika maeneo mengi ya kaunti ya Lamu wamelalamikia ukosefu wa vifaa muhimu na...