• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 1:22 PM

Wavuvi 6,000 wapewa vitambulisho vya baharini Lamu

NA KALUME KAZUNGU ZAIDI ya wavuvi 6000 wa Lamu wanalengwa katika zoezi linaloendelea la kusajili wavuvi hao kwa njia ya kielektroniki...

COVID-19: Wahudumu wa afya wagoma Lamu kwa kukosa PPE

Na KALUME KAZUNGU WAHUDUMU wa Afya wa hospitali ya rufaa ya King Fahad mjini Lamu wamegoma baada ya wenzao sita, ikiwemo madaktari na...

Umeme warudishwa visiwani Pate na Faza baada ya majuma mawili ya ‘kukaa gizani’

Na KALUME KAZUNGU WAKAZI zaidi ya 3,000 wa visiwa vya Pate na Faza, Kaunti ya Lamu wamepata afueni baada ya kampuni ya kusambaza umeme...

Wachunguzi wa kifo cha Tecra Muigai wapewa siku 30 zaidi

Na KALUME KAZUNGU WACHUNGUZI wa kesi inayomkabili Omar Lali, mpenzi wa binti ya wamiliki wa kampuni ya Keroche Breweries, marehemu Bi...

Washukiwa watano wa mauaji ya polisi wakamatwa Lamu

Na KALUME KAZUNGU WASHUKIWA watano wametiwa mbaroni kuhusiana na mauaji ya afisa wa polisi katika kijiji cha Tchundwa, Kaunti ya Lamu...

‘Lamu wataka kafyu isiwaguse’

Na MISHI GONGO LICHA ya Rais Uhuru Kenyatta kupunguza muda wa utekelezwaji wa kafyu, amri hiyo inaendelea kuzikandamiza sekta za...

Familia 600 zaachwa bila makao baada ya nyumba kusombwa na mafuriko Lamu

Na KALUME KAZUNGU ZAIDI ya familia 600 zimeachwa bila makao baada ya nyumba zao kusombwa na maji ya mafuriko katika vijiji vya wadi za...

Wafanyabiashara wawatunuka wateja wao nguo za bure sherehe za Eid al-Fitr

Na KALUME KAZUNGU WAFANYABIASHARA wa mitumba katika mji wa kale wa Lamu wamewatunuka wateja wao nguo za bure wakati wakiadhimisha...

Polisi wampiga risasi babake seneta wa Lamu kwa kutovaa barakoa

JUMA NAMLOLA na KALUME KAZUNGU POLISI katika Kaunti ya Laikipia wanalaumiwa kwa kumpiga risasi babake Seneta wa Kaunti ya Lamu, Anwar...

Biashara ya nyama yanoga kisiwani Lamu

Na KALUME KAZUNGU BIASHARA ya nyama katika mji wa kale wa Lamu imekuwa ikifanya vyema tangu Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ulipoanza licha...

Lawama kwa Lapsset uhaba wa maji safi na salama Lamu

Na KALUME KAZUNGU BODI ya Kusambaza Maji, Kaunti ya Lamu (Lawasco) imenyooshea kidole cha lawama ujenzi unaoendelea wa mradi wa Bandari...

Corona: Wavuvi wa kambakoche Lamu wapata hasara kufungwa soko China

KALUME KAZUNGU na MASHIRIKA WAVUVI wa kambakoche (lobster), Kaunti ya Lamu sasa wanadai soko lao la China limefungwa tangu kuzuka kwa...