Tag: lamu
Wavuvi 6,000 wapewa vitambulisho vya baharini Lamu
NA KALUME KAZUNGU ZAIDI ya wavuvi 6000 wa Lamu wanalengwa katika zoezi linaloendelea la kusajili wavuvi hao kwa njia ya kielektroniki...
- by adminleo
- July 16th, 2020
COVID-19: Wahudumu wa afya wagoma Lamu kwa kukosa PPE
Na KALUME KAZUNGU WAHUDUMU wa Afya wa hospitali ya rufaa ya King Fahad mjini Lamu wamegoma baada ya wenzao sita, ikiwemo madaktari na...
- by adminleo
- July 3rd, 2020
Umeme warudishwa visiwani Pate na Faza baada ya majuma mawili ya ‘kukaa gizani’
Na KALUME KAZUNGU WAKAZI zaidi ya 3,000 wa visiwa vya Pate na Faza, Kaunti ya Lamu wamepata afueni baada ya kampuni ya kusambaza umeme...
- by adminleo
- June 10th, 2020
Wachunguzi wa kifo cha Tecra Muigai wapewa siku 30 zaidi
Na KALUME KAZUNGU WACHUNGUZI wa kesi inayomkabili Omar Lali, mpenzi wa binti ya wamiliki wa kampuni ya Keroche Breweries, marehemu Bi...
- by adminleo
- June 10th, 2020
Washukiwa watano wa mauaji ya polisi wakamatwa Lamu
Na KALUME KAZUNGU WASHUKIWA watano wametiwa mbaroni kuhusiana na mauaji ya afisa wa polisi katika kijiji cha Tchundwa, Kaunti ya Lamu...
- by adminleo
- June 9th, 2020
‘Lamu wataka kafyu isiwaguse’
Na MISHI GONGO LICHA ya Rais Uhuru Kenyatta kupunguza muda wa utekelezwaji wa kafyu, amri hiyo inaendelea kuzikandamiza sekta za...
- by adminleo
- May 26th, 2020
Familia 600 zaachwa bila makao baada ya nyumba kusombwa na mafuriko Lamu
Na KALUME KAZUNGU ZAIDI ya familia 600 zimeachwa bila makao baada ya nyumba zao kusombwa na maji ya mafuriko katika vijiji vya wadi za...
- by adminleo
- May 24th, 2020
Wafanyabiashara wawatunuka wateja wao nguo za bure sherehe za Eid al-Fitr
Na KALUME KAZUNGU WAFANYABIASHARA wa mitumba katika mji wa kale wa Lamu wamewatunuka wateja wao nguo za bure wakati wakiadhimisha...
- by adminleo
- May 18th, 2020
Polisi wampiga risasi babake seneta wa Lamu kwa kutovaa barakoa
JUMA NAMLOLA na KALUME KAZUNGU POLISI katika Kaunti ya Laikipia wanalaumiwa kwa kumpiga risasi babake Seneta wa Kaunti ya Lamu, Anwar...
- by adminleo
- May 8th, 2020
Biashara ya nyama yanoga kisiwani Lamu
Na KALUME KAZUNGU BIASHARA ya nyama katika mji wa kale wa Lamu imekuwa ikifanya vyema tangu Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ulipoanza licha...
- by adminleo
- March 11th, 2020
Lawama kwa Lapsset uhaba wa maji safi na salama Lamu
Na KALUME KAZUNGU BODI ya Kusambaza Maji, Kaunti ya Lamu (Lawasco) imenyooshea kidole cha lawama ujenzi unaoendelea wa mradi wa Bandari...
- by adminleo
- February 23rd, 2020
Corona: Wavuvi wa kambakoche Lamu wapata hasara kufungwa soko China
KALUME KAZUNGU na MASHIRIKA WAVUVI wa kambakoche (lobster), Kaunti ya Lamu sasa wanadai soko lao la China limefungwa tangu kuzuka kwa...