Tag: LIVERPOOL
- by adminleo
- September 17th, 2019
NGOMA ITAMBE: Kivumbi kampeni za UEFA zikianza
Na MASHIRIKA PARIS, UFARANSA LIVERPOOL wanaanza leo Jumanne kampeni za kutetea ufalme wa taji la Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) kwa...
- by adminleo
- August 24th, 2019
NANI JOGOO? Arsenal itaepuka balaa ‘kichinjioni’ Anfield?
Na MASHIRIKA LIVERPOOL, Uingereza ARSENAL ina kibarua kigumu itakapoalikwa na Liverpool ambayo haijapoteza mechi sita zilizopita...
- by adminleo
- August 16th, 2019
ONYO LA THE REDS: Liverpool yawika Lampard akisifu ari ya Chelsea
Na MASHIRIKA ISTANBUL, Uturuki LIVERPOOL imetoa onyo kali kwa wapinzani wake barani Ulaya baada ya kutoka nyuma na kushinda Chelsea...
- by adminleo
- August 15th, 2019
Van Dijk awania kuwa Mwanasoka Bora Ulaya 2019 dhidi ya Messi na Ronaldo
Na GEOFFREY ANENE BEKI wa Liverpool, Virgil van Dijk atashindania taji la Mwanasoka Bora wa mwaka 2019 barani Ulaya baada ya...
- by adminleo
- August 15th, 2019
Liverpool sasa ina mataji mengi makubwa kuliko Man United
Na GEOFFREY ANENE KLABU ya Liverpool imepiku mahasimu wao wa tangu jadi Manchester United kwa mataji na sasa ndiyo timu iliyopata ufanisi...
- by adminleo
- August 14th, 2019
Hofu Liverpool ikijiandaa kuvaana na Chelsea Super Cup
Na MASHIRIKA MERSEYSIDE, UINGEREZA KIPA nambari moja wa Liverpool, Alisson Becker atasalia mkekani kwa kipindi cha “majuma...
- by adminleo
- July 28th, 2019
Van Dijk ana kila sababu ya kunyakua Ballon d’Or
NA CHRIS ADUNGO BAADA ya kuongoza Liverpool kutawazwa wafalme wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA), beki Virgil van Dijk wa Uholanzi alitawazwa...
- by adminleo
- June 8th, 2019
Liverpool wafalme wa hela nchini Uingereza
Na GEOFFREY ANENE LIVERPOOL imevuna matunda ya kutwaa taji la Klabu Bingwa Ulaya kwa kuibuka wafalme wa fedha kwenye orodha ya klabu...
- by adminleo
- June 4th, 2019
Liverpool yatoa nyota wengi kwenye kikosi cha bara Uropa
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wapya wa soka ya Klabu Bingwa Ulaya, Liverpool wametambulia kwa juhudi zao katika makala ya mwaka huu kwa...
- by adminleo
- June 4th, 2019
HANG’OKI! Liverpool kurefusha mkataba wa Klopp
Na MASHIRIKA MERSEYSIDE, UINGEREZA LIVERPOOL wanalenga sasa kurefusha mkataba wa Jurgen Klopp baada ya mkufunzi huyo mzaliwa wa...
- by adminleo
- June 2nd, 2019
Miamba wa soka duniani
NA MASHIRIKA MADRID, UHISPANIA LIVERPOOL walifuta kumbukumbu za kupoteza fainali ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu jana kwa...
- by adminleo
- May 31st, 2019
KITANUKA! Ni gozi la mashemeji fainali ya UEFA
Na MASHIRIKA NAIROBI, Kenya LIVERPOOL na Tottenham Hotspur zitaumiza nyasi uwanjani Wanda Metropolitano nchini Uhispania Jumamosi...