• Nairobi
  • Last Updated May 12th, 2024 5:17 PM

NGOMA ITAMBE: Kivumbi kampeni za UEFA zikianza

Na MASHIRIKA PARIS, UFARANSA LIVERPOOL wanaanza leo Jumanne kampeni za kutetea ufalme wa taji la Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) kwa...

NANI JOGOO? Arsenal itaepuka balaa ‘kichinjioni’ Anfield?

Na MASHIRIKA LIVERPOOL, Uingereza ARSENAL ina kibarua kigumu itakapoalikwa na Liverpool ambayo haijapoteza mechi sita zilizopita...

ONYO LA THE REDS: Liverpool yawika Lampard akisifu ari ya Chelsea

Na MASHIRIKA ISTANBUL, Uturuki LIVERPOOL imetoa onyo kali kwa wapinzani wake barani Ulaya baada ya kutoka nyuma na kushinda Chelsea...

Van Dijk awania kuwa Mwanasoka Bora Ulaya 2019 dhidi ya Messi na Ronaldo

Na GEOFFREY ANENE BEKI wa Liverpool, Virgil van Dijk atashindania taji la Mwanasoka Bora wa mwaka 2019 barani Ulaya baada ya...

Liverpool sasa ina mataji mengi makubwa kuliko Man United

Na GEOFFREY ANENE KLABU ya Liverpool imepiku mahasimu wao wa tangu jadi Manchester United kwa mataji na sasa ndiyo timu iliyopata ufanisi...

Hofu Liverpool ikijiandaa kuvaana na Chelsea Super Cup

Na MASHIRIKA MERSEYSIDE, UINGEREZA KIPA nambari moja wa Liverpool, Alisson Becker atasalia mkekani kwa kipindi cha “majuma...

Van Dijk ana kila sababu ya kunyakua Ballon d’Or

NA CHRIS ADUNGO BAADA ya kuongoza Liverpool kutawazwa wafalme wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA), beki Virgil van Dijk wa Uholanzi alitawazwa...

Liverpool wafalme wa hela nchini Uingereza

Na GEOFFREY ANENE LIVERPOOL imevuna matunda ya kutwaa taji la Klabu Bingwa Ulaya kwa kuibuka wafalme wa fedha kwenye orodha ya klabu...

Liverpool yatoa nyota wengi kwenye kikosi cha bara Uropa

Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wapya wa soka ya Klabu Bingwa Ulaya, Liverpool wametambulia kwa juhudi zao katika makala ya mwaka huu kwa...

HANG’OKI! Liverpool kurefusha mkataba wa Klopp

Na MASHIRIKA MERSEYSIDE, UINGEREZA LIVERPOOL wanalenga sasa kurefusha mkataba wa Jurgen Klopp baada ya mkufunzi huyo mzaliwa wa...

Miamba wa soka duniani

NA MASHIRIKA MADRID, UHISPANIA LIVERPOOL walifuta kumbukumbu za kupoteza fainali ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu jana kwa...

KITANUKA! Ni gozi la mashemeji fainali ya UEFA

Na MASHIRIKA NAIROBI, Kenya LIVERPOOL na Tottenham Hotspur zitaumiza nyasi uwanjani Wanda Metropolitano nchini Uhispania Jumamosi...