• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 12:38 PM

IKO SHIDA: Jeraha la Mohamed Salah laikosesha Liverpool usingizi

Na MASHIRIKA MERSEYDE, Uingereza KLABU ya Liverpool hadi kufikia sasa haijui ni lini nyota wao Mohamed Salah atarejea uwanjani...

HAWASHIKIKI! Manchester City kama vile wameanza kukata tamaa

Na MASHIRIKA MERSEYSIDE, UINGEREZA KOCHA Pep Guardiola amesema hana uhakika iwapo kikosi chake cha Manchester City kitaweza kuziba...

Liverpool yaelekea kufuzu 16-bora baada ya kupepeta masogora Genk

Na MASHIRIKA MERSEYSIDE, Uingereza USHINDI wa 2-1 dhidi ya Genk umewaongezea Liverpool matumaini ya kufuzu kwa hatua ya 16 Bora...

Liverpool itabomoa Aston Villa – Owen

Na MASHIRIKA MERSEYSIDE, Uingereza ALIYEKUWA mshambuliaji matata wa kitaifa, Michael Owen amesisitiza kwamba Liverpool ina uwezo...

AIBU KUU: Origi abaguliwa kwao nchini Ubelgiji

Na MASHIRIKA GENK, UBELGIJI LIVERPOOL imeshutumu vikali bango la kumbagua Divock Origi kwa sababu ya rangi yake lililowekwa katika...

Klopp atetea kutoka sare kwa Liverpool dhidi ya Manchester United

Na MASHIRIKA MANCHESTER, UINGEREZA KOCHA Jurgen Klopp wa Liverpool amekiri kwamba sare iliyosajiliwa na kikosi chake dhidi ya...

ADUNGO: Tusidanganyane, ligi kuu msimu huu ni ya farasi 2; Liverpool na Manchester City

Na CHRIS ADUNGO MANCHESTER City walifanikiwa kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu uliopita. Masogora hawa wa kocha...

Reds wategea Leicester

Na MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA VIONGOZI wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) na mabingwa watetezi wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA), Liverpool...

Liverpool na Chelsea zajinyanyua Uefa

Na MASHIRIKA LIVERPOOL, Uingereza TIMU za Liverpool na Chelsea ziliandikisha ushindi wao wa kwanza katika michuano ya Klabu Bingwa...

Liverpool kujinyanyua dhidi ya Salzburg UEFA

Na MASHIRIKA MERSYSIDE, Uingereza WAFALME wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) Liverpool wanaialika Red Bull Salzburg ya Austriakwa mara ya...

‘Wikendi ya manyanyaso miamba ikifukuzana EPL’

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza VIONGOZI Liverpool, mabingwa watetezi Manchester City na Chelsea wanatarajiwa kuendeleza nyanyaso zao...

Klopp aivulia Napoli kofia baada ya kumlisha sakafu

Na MASHIRIKA NAPLES, ITALLIA KOCHA Jurgen Klopp wa Liverpool ameijumuisha Napoli katika orodha ya timu zilizo na uwezo mkubwa wa...