Tag: LUGHA
- by adminleo
- December 30th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Uigaji hauzuiliki katika ubunifu hasa wa kazi za fasihi
Na ENOCK NYARIKI KATIKA ubunifu wa kazi za fasihi – novela, riwaya, tamthilia au hadithi fupi – mwandishi hujikuta amemuiga...
- by adminleo
- December 17th, 2019
MATUNDURA: Athari za sera ya udhibiti kwa waandishi wa fasihi Afrika Mashariki
NA BITUGI MATUNDURA Kwa majuma sita, msururu wa makala yangu umekuwa ukiangazia suala la udhibiti wa maandishi. Tayari nimekwisha...
- by adminleo
- December 17th, 2019
INDINDI: Rais atuonyeshe mfano bora katika kuthamini Kiswahili
NA HENRY INDINDI TUNAPOKARIBIA kuufunga mwaka huu, ninatamani kutangaza matumaini yangu katika mwaka ujao. Ninatamani sana kuwa na...
- by adminleo
- December 12th, 2019
GWIJI WA TAARAB: Khadija Kopa
Na CHRIS ADUNGO WATAKAPOORODHESHWA wasanii ambao wamechangia pakubwa katika makuzi ya Kiswahili ndani na nje ya janibu za Afrika...
- by adminleo
- November 29th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Mchango wa mazingira katika mabadilikoya lugha kihistoria
Na CHRIS ADUNGO MWANADAMU daima hujikuta katika mazingira mbalimbali. Kwa kuyachunguza mazingira hayo, binadamu hupata fikira na dhana...
- by adminleo
- November 16th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Nafasi ya utafiti kidijitali katika ukuaji, maendeleo ya Kiswahili
Na MARY WANGARI KATIKA siku za hivi majuzi, wadau kadha wa Kiswahili wamejitokeza kupigia debe suala la Kiswahili kufanywa lugha rasmi...
- by adminleo
- November 15th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Tathmini ya kina kuhusu matamshi katika Kiswahili
Na WANDERI KAMAU MATAMSHI yanayopaswa kufundishwa shuleni nchini Kenya ni yale ya Kiswahili sanifu. Je, tunapozungumzia matamshi ya...
- by adminleo
- November 12th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Nafasi ya Kiswahili kama lugha rasmi na ya taifa
Na ALEX NGURE LUGHA ya taifa ni lugha inayotumika katika taifa fulani kwa shughuli za kitaifa kama vile mikutano ya...
- by adminleo
- September 18th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Viambajengo muhimu katika utamaduni wa Kiswahili
Na MARY WANGARI Ndoa na Harusi – Hiki ni kipengele kingine muhimu chenye uzito Uswahilini kwa kuwa ni taasisi ya kwanza katika maisha...
- by adminleo
- September 18th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Utamaduni na lugha ya Kiswahili
Na MARY WANGARI KWA mujibu wa msomi Mbaabu (1985), utamaduni unahusu mila, asili, jadi, na desturi za mavazi, vyakula, imani, tabia, na...
- by adminleo
- September 3rd, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Fafanuzi na nadharia za fasihi
Na ALEX NGURE WANANADHARIA wengi wamelielezea neno hili fasihi. Kwa hakika fafanuzi na nadharia juu yake ni nyingi. Neno fasihi...
- by adminleo
- August 30th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Uchambuzi wa hadithi ‘Tumbo Lisiloshiba’ (Said A. Mohamed)
Na CHRIS ADUNGO MWANDISHI wa hadithi hii analenga kuonyesha umuhimu wa umoja; kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Mzee Mago...