Tag: mafuriko
- by adminleo
- May 20th, 2020
Mama ajifungua katika kambi alikotafuta hifadhi mafuriko yakiendelea Garissa
Na FARHIYA HUSSEIN MWANAMKE mmoja amejifungua katika kambi alikotafuta hifadhi Kaunti ya Garissa baada ya kupoteza makazi yake kufuatia...
- by adminleo
- May 14th, 2020
MAFURIKO: 237 wafa huku 800,000 wakiachwa bila makao
Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Ugatuzi Eugene Wamalwa amefichua kuwa kufikia Jumatano asubuhi jumla ya watu 237 walikuwa wamefariki maeneo...
- by adminleo
- May 7th, 2020
Serikali kuwaondoa kwa lazima walioko katika ‘ngome’ za mafuriko
Na SAMMY WAWERU SERIKALI imesema haitaki kubembeleza watu wanaokatalia maeneo hatari na yanayoshuhudia mafuriko, kutokana na athari za...
- by adminleo
- May 2nd, 2020
Mafuriko yasomba makazi ya familia 10,000 Nyando
Na CECIL ODONGO ZAIDI ya familia 10,000 katika vijiji vya Kabonyo na Nduru kwenye wadi ya Kabonyo Kanyagwal, eneobunge la Nyando...
- by adminleo
- April 27th, 2020
Waathiriwa wa mafuriko wasaidiwa
Na WAANDISHI WETU WATHIRIWA wa mafuriko katika Kaunti ya Homa Bay wameanza kupewa pesa ili waweze kukodisha nyumba waache kukusanyika...
- by adminleo
- April 27th, 2020
Mvua kubwa yasababisha hasara Ruiru
Na LAWRENCE ONGARO FAMILIA zaidi ya 200 katika vijiji vya Kimbo na Juja wameachwa na mahangaiko baada ya mvua kubwa kusababisha maji ya...
- by adminleo
- April 26th, 2020
Maaskofu wa kanisa Katoliki waitaka serikali itenge fedha iwafae waathiriwa wa mafuriko
Na CHARLES WASONGA MAASKOFU wa Kanisa Katoliki wameitaka serikali kutenga rasilimali za kutosha kuwafidia Wakenya walioathirika na...
- by adminleo
- April 24th, 2020
Waombwa wahamie nyanda za juu kukwepa mauti
Na OSCAR KAKAI Wakazi wanaoishi katika maeneo hatari ya nyanda za chini katika Kaunti ya Pokot Magharibi wameshauriwa kuhama kutoka...
- by adminleo
- April 23rd, 2020
Wawili waangamia kwa mafuriko Samburu
By GEOFFREY ONDIEKI [email protected] Watu wawili wamefariki baada ya kusombwa na maji ya mafuriko katika kijiji cha Illaut,...
- by adminleo
- April 5th, 2020
ODONGO: Tusisahau nzige, mafuriko tunapokabiliana na virusi
Na CECIL ODONGO KENYA ni kati ya mataifa ambayo raia wake wameathiriwa pakubwa na maambukizi ya virusi vya corona. Kwa sasa, taifa...
- by adminleo
- March 18th, 2020
Mafuriko yatatiza wakazi wa Nyando na Taita Taveta corona ikienea
CECIL ODONGO na LUY MKANYIKA WAKAZI 1,000 katika eneobunge la Nyando wameachwa bila makao baada ya nyumba zao kusombwa na maji ya...
- by adminleo
- February 3rd, 2020
Mafuriko yazidi kuleta maafa maeneo mbalimbali nchini
Na WAANDISHI WETU SHULE tatu jana zilifungwa katika eneobunge la Nyando, Kaunti ya Kisumu, huku maafa ya mafuriko yakiendelea...