Tag: mafuriko
- by adminleo
- December 2nd, 2019
Maafa ya mvua yasambaa
Na WAANDISHI WETU JANGA la mafuriko limeendelea kusababisha maafa na vilio katika maeneo ya Nyanza, Magharibi, Nairobi, Mashariki na...
- by adminleo
- December 1st, 2019
Maporomoko yaua wawili baada ya mvua iliyopitiliza
Na PIUS MAUNDU Na CHARLES WASONGA WATU wawili walifariki Jumamosi katika mkasa wa maporomoko ya ardhi katika kijiji cha Kilungu, Kaunti...
- by adminleo
- November 14th, 2019
Wabunge wa Pwani waomba waathiriwa wa mafuriko wasaidiwe
Na Charles Wasonga WABUNGE wa Pwani wameitaka serikali ya kitaifa kutuma Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) kusaidia wakazi wa eneo hilo...
- by adminleo
- November 14th, 2019
Wabunge wa Pwani wataka serikali isaidie waathiriwa wa mafuriko
Na CHARLES WASONGA WABUNGE wa Pwani wameitaka serikali ya kitaifa kutuma Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) kusaidia wakazi wa eneo hilo...
- by adminleo
- November 12th, 2019
Wanaharakati wa mazingira waitaka serikali iwasaidie waathiriwa wa mafuriko nchini
Na MAGDALENE WANJA WANAHARAKATI wa mazingira wameitaka serikali kufanya upesi kuwasaidia waathiriwa wa mafuriko katika sehemu mbalimbali...
- by adminleo
- October 18th, 2019
Maji ya mafuriko kutoka Ethiopia yaitikisa Lamu
Na KALUME KAZUNGU MAMIA ya wakazi kwenye vijiji vilivyoko msitu wa Boni, Kaunti ya Lamu wameathirika na mafuriko yanayosababishwa na...
- by adminleo
- October 17th, 2019
Watu wanne wafariki Kitui baada ya gari lao kusombwa na maji ya mto uliofurika
Na KITAVI MUTUA WATU wanne wamefariki baada ya gari lao kusombwa na maji ya mto uliofurika wakati wakivuka eneo la Matinyani, Kaunti ya...
- by adminleo
- October 11th, 2019
Mauti, hasara zashuhudiwa kutokana na mvua kubwa
Na WAANDISHI WETU MAAFA na uharibifu wa mali yalishuhudiwa Alhamisi baada ya mvua kubwa kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini tangu...
- by adminleo
- September 4th, 2019
Wakazi watahadharishwa kuhusu mafuriko
Na WAANDISHI WETU MVULANA alikufa maji Jumanne kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha maeneo mengi ya Bonde la Ufa na kusababisha...
- by adminleo
- June 28th, 2019
Bwanyenye wa kigeni anavyowatesa wakazi wa Nakuru
RICHARD MAOSI, PHYLLIS MUSASIA NA KEVIN ROTICH Wakazi wa Kiamunyi katika Kaunti ya Nakuru wameendelea kukadiria hasara kubwa baada ya...
- by adminleo
- June 12th, 2019
Familia 30 zakosa makao kufuatia mafuriko Nyando
Na DUNCAN OKOTH FAMILIA 30 katika kata ndogo ya Kakola Ombaka, eneo bunge la Nyando, Kaunti ya Kisumu zimeachwa bila makao baada ya...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
Mvua yazua maafa Pwani
Na WAANDISHI WETU MTU mmoja alifariki Alhamisi baada ya kusombwa na mafuriko katika eneo la Kadzandani, eneo la Kisauni katika Kaunti ya...