• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 5:07 PM

Maafa ya mvua yasambaa

Na WAANDISHI WETU JANGA la mafuriko limeendelea kusababisha maafa na vilio katika maeneo ya Nyanza, Magharibi, Nairobi, Mashariki na...

Maporomoko yaua wawili baada ya mvua iliyopitiliza

Na PIUS MAUNDU Na CHARLES WASONGA WATU wawili walifariki Jumamosi katika mkasa wa maporomoko ya ardhi katika kijiji cha Kilungu, Kaunti...

Wabunge wa Pwani waomba waathiriwa wa mafuriko wasaidiwe

Na Charles Wasonga WABUNGE wa Pwani wameitaka serikali ya kitaifa kutuma Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) kusaidia wakazi wa eneo hilo...

Wabunge wa Pwani wataka serikali isaidie waathiriwa wa mafuriko

Na CHARLES WASONGA WABUNGE wa Pwani wameitaka serikali ya kitaifa kutuma Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) kusaidia wakazi wa eneo hilo...

Wanaharakati wa mazingira waitaka serikali iwasaidie waathiriwa wa mafuriko nchini

Na MAGDALENE WANJA WANAHARAKATI wa mazingira wameitaka serikali kufanya upesi kuwasaidia waathiriwa wa mafuriko katika sehemu mbalimbali...

Maji ya mafuriko kutoka Ethiopia yaitikisa Lamu

Na KALUME KAZUNGU MAMIA ya wakazi kwenye vijiji vilivyoko msitu wa Boni, Kaunti ya Lamu wameathirika na mafuriko yanayosababishwa na...

Watu wanne wafariki Kitui baada ya gari lao kusombwa na maji ya mto uliofurika

Na KITAVI MUTUA WATU wanne wamefariki baada ya gari lao kusombwa na maji ya mto uliofurika wakati wakivuka eneo la Matinyani, Kaunti ya...

Mauti, hasara zashuhudiwa kutokana na mvua kubwa

Na WAANDISHI WETU MAAFA na uharibifu wa mali yalishuhudiwa Alhamisi baada ya mvua kubwa kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini tangu...

Wakazi watahadharishwa kuhusu mafuriko

Na WAANDISHI WETU MVULANA alikufa maji Jumanne kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha maeneo mengi ya Bonde la Ufa na kusababisha...

Bwanyenye wa kigeni anavyowatesa wakazi wa Nakuru

RICHARD MAOSI, PHYLLIS MUSASIA NA KEVIN ROTICH Wakazi wa Kiamunyi katika Kaunti ya Nakuru wameendelea kukadiria hasara kubwa baada ya...

Familia 30 zakosa makao kufuatia mafuriko Nyando

Na DUNCAN OKOTH FAMILIA 30 katika kata ndogo ya Kakola Ombaka, eneo bunge la Nyando, Kaunti ya Kisumu zimeachwa bila makao baada ya...

Mvua yazua maafa Pwani

Na WAANDISHI WETU MTU mmoja alifariki Alhamisi baada ya kusombwa na mafuriko katika eneo la Kadzandani, eneo la Kisauni katika Kaunti ya...