Tag: mbio
- by adminleo
- September 12th, 2019
Chepkoech aongoza watatu kuingia Riadha za Dunia mbio za mita 3,000 kuruka viunzi na maji
Na GEOFFREY ANENE MSHIKILIZI wa rekodi ya dunia ya mbio za mita 3,000 kuruka viunzi na maji Beatrice Chepkoech alishinda kwa urahisi...
- by adminleo
- September 12th, 2019
Ni mguu niponye mchujo wa Qatar ukianza rasmi
Na CHRIS ADUNGO KUWEPO kwa mabingwa wa zamani wa dunia, olimpiki na Diamond League kunatarajiwa kufanya mchujo wa kitaifa wa leo...
- by adminleo
- September 5th, 2019
AK yatafuta suluhu ya mbio za mita 10,000
Na CHRIS ADUNGO RAIS wa Shirikisho la Riadha la Kenya (AK), Jackson Tuwei amefichua kwamba shirikisho hilo litandaa kikao maalumu na...
- by adminleo
- May 25th, 2019
Murigi moto wa kuotea mbali mbio za milimani, ashinda Ufaransa
Na GEOFFREY ANENE MKENYA Lucy Wambui Murigi alifungua msimu wake wa Kombe la Dunia la mbio za milimani za mwaka 2019 kwa kushinda taji...
- by adminleo
- May 9th, 2019
Matumaini tele kikosi cha riadha kitanogesha Japan
Na CHRIS ADUNGO NAHODHA wa kikosi cha Kenya, Aaron Koech ni mwingi wa matumaini kwamba wataendeleza ubabe walioudhihirisha katika Riadha...
- by adminleo
- March 27th, 2019
AK yadumisha Pogisho na Kiprop kwa mbio za Afrika
Na CHRIS ADUNGO SHIRIKISHO la Riadha la Kenya (AK) limewarejesha timuni watimkaji Reuben Pogisho na Jacob Kiprop ambao awali walikuwa...
- by adminleo
- August 2nd, 2018
Kenya ilipoteza wasaa kushiriki mbio za mita 10,000 Nigeria
Na GEOFFREY ANENE BAADA ya kupata medali katika mbio za mita 10, 000 za wanaume katika kila makala ya Riadha za Bara Afrika tangu mwaka...
- by adminleo
- July 16th, 2018
Ethiopia yainyang’anya Kenya ubingwa mita 3,000
Na GEOFFREY ANENE BAADA ya kushinda medali ya dhahabu katika makala 15 mfululizo katika mbio za wanaume za mita 3,000 kuruka viunzi na...
- by adminleo
- April 12th, 2018
GOLD COAST AUSTRALIA: Kibarua kizito kumbwaga Nijel Amos mita 800
Na CHRIS ADUNGO KIBARUA kizito kitakachowasubiri Alhamisi alasiri Wakenya Jonathan Kitilit na Wycliffe Kinyamal nchini Australia ni...
- by adminleo
- March 20th, 2018
Matumaini kwa Amerika kumaliza ukame wa miaka 32 bila taji Boston Marathon
Na GEOFFREY ANENE WENYEJI Marekani wana matumaini makubwa ya kumaliza ukame wa miaka 32 bila taji la mbio za Boston Marathon...
- by adminleo
- March 19th, 2018
Timu ya Riadha ya Kenya yapokelewa kishujaa JKIA
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya riadha ya Kenya Jumatatu imepokelewa kishujaa kutoka nchini Algeria ambako ilishinda ubingwa wa Afrika baada ya...
- by adminleo
- March 11th, 2018
Kirwa, Cheshari na Kosgei kushiriki Hannover Marathon
Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Gilbert Kirwa, Jacob Cheshari na Recho Kosgei wameingia mbio za kilomita 42 za Hannover Marathon...