• Nairobi
  • Last Updated May 10th, 2024 10:55 PM

Olunga aahidi kuvumisha Al Duhail katika mahojiano yake ya kwanza

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Michael 'Engineer' Olunga ameahidi makubwa katika mazungumzo yake ya kwanza tangu ajiunge na mabingwa wa Ligi...

Olunga ayoyomea Qatar ‘kumumunya mamilioni’

Na CHRIS ADUNGO FOWADI Michael Olunga alihiari kuyoyomea nchini Qatar usiku wa Januari 11, 2020 kuchezea kikosi cha Al Duhai SC baada ya...

Olunga pua na mdomo kuyoyomea Qatar kuvalia jezi za Al-Duhail SC

Na CHRIS ADUNGO KASHIWA Reysol ambao ni waajiri wa fowadi Michael Olunga wa Harambee Stars wako radhi kukubali ofa ya Sh940 milioni kwa...

Olunga kulenga juu zaidi baada ya makali yake ugani kutambuliwa na FIFA

Na CHRIS ADUNGO MCHEZAJI Michael Olunga ameapa kulenga juu zaidi baada ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kumtia katika orodha ya...

Olunga arejea kuanza mechi Kashiwa Reysol ikiumiza nyasi bure dhidi ya Cerezo

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Michael Olunga alirejea katika kikosi cha wachezaji 11 wa kwanza timu ya Kashiwa Reysol ikigawana alama katika...