Tag: moto
- by adminleo
- June 25th, 2020
Mali ya mamilioni yateketea Gikomba tena
Na PETER CHANGTOEK WAFANYIBIASHARA katika soko la Gikomba, kwa mara nyingine tena, wanakadiria hasara baada ya mali zao kuteketea...
- by adminleo
- June 18th, 2020
Mtoto afariki katika kisa cha moto Mukuru-Kayaba
Na SAMMY KIMATU [email protected] MTOTO wa umri wa miaka tisa alifariki Alhamisi baada ya kuteketea katika kisa cha moto...
- by adminleo
- March 14th, 2020
Waajiriwa waponea padogo kuchomeka katika kiwanda
Na SAMMY KIMATU NAIBU Kamishna wa kaunti ndogo ya Makadara, Nairobi, Bw Fred Ndunga ameonya waajiri wanaowafungia wafanyakazi ndani ya...
- by adminleo
- February 15th, 2020
Moto wateketeza karakana Starehe Boys
Na CHARLES WASONGA MOTO umezuka katika shule maarufu ya Starehe Boys Centre, Nairobi na kuharibu majengo mawili Jumamosi. Kwenye...
- by adminleo
- February 13th, 2020
Janga la moto ladhibitiwa Australia
Na AFP SYDNEY, Australia MIKASA ya moto katika jimbo la New South Wales nchini Australia imedhibitiwa, maafisa wa kupambana na moto...
- by adminleo
- January 23rd, 2020
Watu 3 wafariki wakizima moto nchini Australia
Na AFP SIDNEY, Australia WAHUDUMU watatu wa ndege ya shirika moja la huduma za zimamoto wamefariki Alhamisi wakipambanaa na moto...
- by adminleo
- January 7th, 2020
Moto waharibu mali yenye thamani kubwa katika duka la magodoro Mombasa
Na MISHI GONGO MALI yenye thamani kubwa imeteketea mjini Mombasa baada ya moto kuzuka katika duka la kuuza magodoro na vitambaa. Duka...
- by adminleo
- November 16th, 2019
Mali inayokadiriwa kuwa ya thamani ya Sh12 milioni yaharibiwa na moto shuleni Koyonzo
Na SHABAN MAKOKHA MALI inayokadiriwa kuwa ya thamani ya Sh12 milioni imeharibiwa baada ya moto wa usiku wa manane katika Shule ya...
- by adminleo
- November 12th, 2019
Moto usiku wasababisha taharuki Mombasa Hospital
Na MISHI GONGO TAHARUKI imetanda Jumanne usiku katika Mombasa Hospital - ya mmiliki binafsi - baada ya moto kuteketeza jengo moja katika...
- by adminleo
- October 22nd, 2019
Wakadiria hasara baada ya moto kuteketeza nyumba nne Likoni
Na MISHI GONGO WAKAZI wanakadiria hasara baada ya moto kuteketeza nyumba nne katika eneo la Kaunda, Likoni, Kaunti ya Mombasa. Baadhi...
- by adminleo
- October 17th, 2019
Moto nyumbani kwa Raila
Na RICHARD MUNGUTI MVUTANO umezuka katika familia ya Kiongozi wa ODM, Raila Odinga kuhusiana na urithi wa mali ya mwanawe aliyeaga...
- by adminleo
- September 25th, 2019
Familia 45 nje baridini baada ya moto kuteketeza nyumba zao Mukuru-Kayaba
Na SAMMY KIMATU FAMILIA 45 katika eneo la Mandazi Road kwenye mtaa wa mabanda wa Mukuru-Kayaba ulioko tarafa ya South B, Kaunti ya...