• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 5:07 PM

Mali ya mamilioni yateketea Gikomba tena

Na PETER CHANGTOEK WAFANYIBIASHARA katika soko la Gikomba, kwa mara nyingine tena, wanakadiria hasara baada ya mali zao kuteketea...

Mtoto afariki katika kisa cha moto Mukuru-Kayaba

Na SAMMY KIMATU [email protected] MTOTO wa umri wa miaka tisa alifariki Alhamisi baada ya kuteketea katika kisa cha moto...

Waajiriwa waponea padogo kuchomeka katika kiwanda

Na SAMMY KIMATU NAIBU Kamishna wa kaunti ndogo ya Makadara, Nairobi, Bw Fred Ndunga ameonya waajiri wanaowafungia wafanyakazi ndani ya...

Moto wateketeza karakana Starehe Boys

Na CHARLES WASONGA MOTO umezuka katika shule maarufu ya Starehe Boys Centre, Nairobi na kuharibu majengo mawili Jumamosi. Kwenye...

Janga la moto ladhibitiwa Australia

Na AFP SYDNEY, Australia MIKASA ya moto katika jimbo la New South Wales nchini Australia imedhibitiwa, maafisa wa kupambana na moto...

Watu 3 wafariki wakizima moto nchini Australia

Na AFP SIDNEY, Australia WAHUDUMU watatu wa ndege ya shirika moja la huduma za zimamoto wamefariki Alhamisi wakipambanaa na moto...

Moto waharibu mali yenye thamani kubwa katika duka la magodoro Mombasa

Na MISHI GONGO MALI yenye thamani kubwa imeteketea mjini Mombasa baada ya moto kuzuka katika duka la kuuza magodoro na vitambaa. Duka...

Mali inayokadiriwa kuwa ya thamani ya Sh12 milioni yaharibiwa na moto shuleni Koyonzo

Na SHABAN MAKOKHA MALI inayokadiriwa kuwa ya thamani ya Sh12 milioni imeharibiwa baada ya moto wa usiku wa manane katika Shule ya...

Moto usiku wasababisha taharuki Mombasa Hospital

Na MISHI GONGO TAHARUKI imetanda Jumanne usiku katika Mombasa Hospital - ya mmiliki binafsi - baada ya moto kuteketeza jengo moja katika...

Wakadiria hasara baada ya moto kuteketeza nyumba nne Likoni

Na MISHI GONGO WAKAZI wanakadiria hasara baada ya moto kuteketeza nyumba nne katika eneo la Kaunda, Likoni, Kaunti ya Mombasa. Baadhi...

Moto nyumbani kwa Raila

Na RICHARD MUNGUTI MVUTANO umezuka katika familia ya Kiongozi wa ODM, Raila Odinga kuhusiana na urithi wa mali ya mwanawe aliyeaga...

Familia 45 nje baridini baada ya moto kuteketeza nyumba zao Mukuru-Kayaba

Na SAMMY KIMATU FAMILIA 45 katika eneo la Mandazi Road kwenye mtaa wa mabanda wa Mukuru-Kayaba ulioko tarafa ya South B, Kaunti ya...