Tag: moto
- by adminleo
- September 8th, 2019
Wazazi wa Kyanguli hatimaye wafidiwa Sh53m
Na LILLIAN MUTAVI WAZAZI ambao wanao waliangamia kwenye mkasa wa moto katika Shule ya Wavulana ya Kyanguli, Kaunti ya Machakos jana...
- by adminleo
- September 3rd, 2019
Nyumba 60 zateketea Mukuru-Kayaba
Na SAMMY KIMATU FAMILIA zaidi ya 50 zilikesha nje penye baridi baada ya moto mkubwa kuteketeza nyumba 60 Jumatatu usiku. Moto huo,...
- by adminleo
- July 3rd, 2019
Msagaji asakwa kwa kuchoma nyumba 40 kwenye mzozo wa ushoga
Na BENSON MATHEKA POLISI jijini Nairobi, wanamsaka mwanamke anayeshukiwa kuwasha moto ulioteketeza zaidi ya nyumba 40 mtaani Kibra...
- by adminleo
- June 25th, 2019
Mwanamke alazwa akiwa na majeraha ya moto, familia 18 zaachwa bila makao
Na SAMMY KIMATU [email protected] MWANAMKE amelazwa katika Hospitali Kuu ya Kitaifa ya Kenyatta (KNH) baada ya kuchomeka...
- by adminleo
- June 11th, 2019
Mwanamume afariki, wawili waponea baada ya moto ndani ya lojing’i
Na SAMMY KIMATU MWANAMUME mmoja alifariki huku wengine wawili wakinusurika kifo kwa tundu la sindano baada ya moto kutokea ndani ya...
- by adminleo
- April 29th, 2019
NOTRE DAME: Mtawa wa miaka 91 anauza ubikira kufadhili ujenzi
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAMKE mtawa wa kanisa katoliki mwenye umri wa miaka 91 kutoka Ufaransa ametoa tangazo lisilo la kawaida...
- by adminleo
- April 14th, 2019
Nyumba 50 zateketea Mukuru-Kaiyaba
Na SAMMY KIMATU ZAIDI ya watu 100 walikesha nje penye baridi baada ya nyumba 50 kuteketea katika eneo la Dallas kwenye mtaa wa mabanda...
- by adminleo
- March 23rd, 2019
Mlipuko katika kiwanda cha kemikali China wasababisha vifo vya watu 44
Na MASHARIKI WATU 44 wameuawa huku wengine 600 wakijeruhiwa katika mlipuko uliotokea katika kiwanda kimoja cha kutengeneza kemikali ya...
- by adminleo
- February 4th, 2019
Moto wa karatasi wateketeza kiwanda cha gesi
NA LAWRENCE ONGARO WAWEKEZAJI wa kiwanda kimoja mjini Thika wanakadiria hasara baada ya mali yao kuchomeka kutokana na moto wa...
- by adminleo
- January 31st, 2019
SACHANGWAN: Uchungu miaka 10 baada ya Wakenya 199 kuangamia kwa moto
Na PETER MBURU UNAPOMWONA akiwa katika pilkapilka za kufanya kazi za sulubu, huenda ukahadaika kuamini kuwa ni kijana tu kama wengine...
- by adminleo
- January 14th, 2019
Ndani kwa kuchoma nyumba ya mpenzi wa zamani akitaka warudiane
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAFUNZI mmoja kutoka Uingereza alifungwa miaka sita gerezani, baada ya kuteketeza nyumba ya aliyekuwa mpenzi...
- by adminleo
- December 11th, 2018
Mama ajiteketeza na watoto wake nyumbani
Na Rushdie Oudia WAKAZI wa eneo la Otonglo, Kaunti ya Kisumu, walisikitishwa na kisa ambapo mwanamke alijiua pamoja na watoto wake...