Tag: mumias
- by T L
- April 22nd, 2022
Serikali yatakiwa itume polisi kulinda mali ya Mumias
NA SHABAN MAKOKHA WAKULIMA na wafanyakazi wa zamani wa kampuni ya Sukari ya Mumias wanaitaka serikali kutuma maafisa wa usalama katika...
- by T L
- January 26th, 2022
Mumias: Mahakama yakubali kujumuisha walalamishi zaidi
RICHARD MUNGUTI NA ELIZABETH OJINA MAHAKAMA Kuu jana Jumanne iliwajumuisha walalamishi zaidi ya 20 katika kesi ya kupinga kampuni moja...
- by T L
- November 5th, 2021
Watishia kususia uchaguzi mkuu mwaka 2022 kiwanda cha miwa cha Mumias kisipofufuliwa
Na SHABAN MAKOKHA WAKULIMA, wafanyabiashara na wakazi wa Mumias wanaotegemea uzalishaji wa miwa, wametishia kutoshiriki katika uchaguzi...
Matumaini tele kiwanda cha sukari kianze kunguruma tena
Na SHABAN MAKOKHA KIWANDA cha sukari cha Mumias ambacho hakijakuwa kikihudumu kwa muda wa miaka mitatu baada ya kuporomoka, huenda...
Mulembe wapigania minofu ya Uhuru
Na SHABAN MAKOKHA ZIARA ya Rais Uhuru Kenyatta katika eneo la Magharibi imegawanya viongozi huku kila mwanasiasa aking’ang’ania...
Mzozo kuhusu mpango wa kukabidhi Mumias Sugar usimamizi mpya
Na Benson Amadala MPANGO wa kukabidhi msimamizi mpya wa kiwanda cha sukari cha Mumias kinachozongwa na matatizo ya kifedha, umeibua...
Kampuni ya Mumias mbioni kurejelea usagaji wa miwa
Na SHABAN MAKOKHA KAMPUNI ya Sukari ya Mumias imeanza shughuli za kuhesabu miwa ili kubaini idadi iliyopo, ikilenga kurejelea tena...
Mzozo mpya watokota Mumias Sugar
Na BRIAN OJAMAA MZOZO mpya umeibuka katika Kampuni ya Sukari ya Mumias, baada ya wakulima kushinikiza kubadilishwa kwa usimamizi wa...
- by adminleo
- July 3rd, 2020
Mumias Sugar yaagiza vifaa vipya
BENSON AMADALA na FAUSTINE NGILA Kampuni ya Mumias imeangiza vifaa vipya vya kusaidia Mumias kusaga sukari kwenye...
- by adminleo
- January 16th, 2020
Makabiliano yatarajiwa Mumias Jumamosi
SHABAN MAKOKHA na CHARLES WASONGA MAKABILIANO makali kati ya polisi na raia yanatarajiwa kutokea mjini Mumias Jumamosi baada ya...
- by adminleo
- November 5th, 2019
Wafanyakazi wa kiwanda cha sukari cha Mumias watimuliwa
Na SHABAN MAKOKHA KANDARASI za wafanyakazi wote wa kiwanda cha sukari cha Mumias zimefutwa huku meneja mrasimu akisema anapanga kuajiri...
- by adminleo
- October 14th, 2019
Oparanya ashutumu wanaopinga juhudi za kufufua Mumias Sugar
Na SHABAN MAKOKHA GAVANA wa Kakamega Wycliffe Oparanya amewashutumu baadhi ya wanasiasa kutoka eneo la Magharibi kwa kupanga njama ya...