• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 5:50 AM

Serikali yatakiwa itume polisi kulinda mali ya Mumias

NA SHABAN MAKOKHA WAKULIMA na wafanyakazi wa zamani wa kampuni ya Sukari ya Mumias wanaitaka serikali kutuma maafisa wa usalama katika...

Mumias: Mahakama yakubali kujumuisha walalamishi zaidi

RICHARD MUNGUTI NA ELIZABETH OJINA MAHAKAMA Kuu jana Jumanne iliwajumuisha walalamishi zaidi ya 20 katika kesi ya kupinga kampuni moja...

Watishia kususia uchaguzi mkuu mwaka 2022 kiwanda cha miwa cha Mumias kisipofufuliwa

Na SHABAN MAKOKHA WAKULIMA, wafanyabiashara na wakazi wa Mumias wanaotegemea uzalishaji wa miwa, wametishia kutoshiriki katika uchaguzi...

Matumaini tele kiwanda cha sukari kianze kunguruma tena

Na SHABAN MAKOKHA KIWANDA cha sukari cha Mumias ambacho hakijakuwa kikihudumu kwa muda wa miaka mitatu baada ya kuporomoka, huenda...

Mulembe wapigania minofu ya Uhuru

Na SHABAN MAKOKHA ZIARA ya Rais Uhuru Kenyatta katika eneo la Magharibi imegawanya viongozi huku kila mwanasiasa aking’ang’ania...

Mzozo kuhusu mpango wa kukabidhi Mumias Sugar usimamizi mpya

Na Benson Amadala MPANGO wa kukabidhi msimamizi mpya wa kiwanda cha sukari cha Mumias kinachozongwa na matatizo ya kifedha, umeibua...

Kampuni ya Mumias mbioni kurejelea usagaji wa miwa

Na SHABAN MAKOKHA KAMPUNI ya Sukari ya Mumias imeanza shughuli za kuhesabu miwa ili kubaini idadi iliyopo, ikilenga kurejelea tena...

Mzozo mpya watokota Mumias Sugar

Na BRIAN OJAMAA MZOZO mpya umeibuka katika Kampuni ya Sukari ya Mumias, baada ya wakulima kushinikiza kubadilishwa kwa usimamizi wa...

Mumias Sugar yaagiza vifaa vipya

BENSON AMADALA na FAUSTINE NGILA Kampuni ya Mumias imeangiza vifaa vipya vya kusaidia Mumias kusaga sukari kwenye...

Makabiliano yatarajiwa Mumias Jumamosi

SHABAN MAKOKHA na CHARLES WASONGA MAKABILIANO makali kati ya polisi na raia yanatarajiwa kutokea mjini Mumias Jumamosi baada ya...

Wafanyakazi wa kiwanda cha sukari cha Mumias watimuliwa

Na SHABAN MAKOKHA KANDARASI za wafanyakazi wote wa kiwanda cha sukari cha Mumias zimefutwa huku meneja mrasimu akisema anapanga kuajiri...

Oparanya ashutumu wanaopinga juhudi za kufufua Mumias Sugar

Na SHABAN MAKOKHA GAVANA wa Kakamega Wycliffe Oparanya amewashutumu baadhi ya wanasiasa kutoka eneo la Magharibi kwa kupanga njama ya...