Tag: ndoa
- by adminleo
- January 29th, 2019
Mama amsamehe mumewe aliyemdhulumu kuokoa ndoa
NA RICHARD MAOSI Mahakama ya Nakuru, Jumatatu ilimpa afueni raia wa Marekani aliyekabiliwa na madai ya kumpiga na kumjeruhi mke wake...
- by adminleo
- January 14th, 2019
Mama pima akwama kwa jombi eti amuoe
Na John Musyoki Machakos Mjini JAMAA anayeishi mjini hapa anajuta baada ya mama pima kukwamilia kwake baada ya kurushana...
- by adminleo
- December 28th, 2018
SHANGAZI AKUJIBU: Nilimuacha nilipomfumania akiwa na dadangu
Kwako shangazi. Nililikuwa nimeaolewa lakini nikamuacha mume wangu baada ya kumfumania ndani ya nyumbani yetu akiwa na dada yangu. Huu sasa...
- by adminleo
- December 28th, 2018
Wakenya walioazimia kufunga ndoa 2018 walinoa – Ripoti
Na VALENTINE OBARA ZAIDI ya nusu ya Wakenya waliokuwa wamepanga kuoa au kuolewa mwaka huu waliambulia patupu huku ikiwa imesalia siku...
- by adminleo
- November 28th, 2018
Ndoa za matineja huigharimu Afrika matrilioni – Benki ya Dunia
MASHIRIKA na PETER MBURU NDOA za matineja huligharimu bara la Afrika angalau Sh6.3 trilioni, Benki ya Dunia imesema. Ripoti ya benki hiyo...
- by adminleo
- October 31st, 2018
Chifu awaonya vijana dhidi ya kunyemelea wake za watu
Na Samuel Baya Naibu wa Chifu wa Bamburi Bw Jeremiah Machache amewataka vijiana wa eneo hilo kukomesha tabia ya kunyemelea wake za...
- by adminleo
- October 24th, 2018
Polo apapura pasta kwa kumvunjia ndoa
Na DENNIS SINYO Bwale, Webuye KALAMENI wa hapa alimlaumu pasta wa kanisa lake kwa kusambaratisha ndoa yake. Jamaa huyo na mkewe...
- by adminleo
- September 5th, 2018
Vipusa walimana kanisani wakizozania polo
Na TOBBIE WEKESA Kibabii, Bungoma Waumini wa kanisa moja la hapa walibahatika kutazama sinema ya bure mrembo mmoja alipomuangushia...
- by adminleo
- September 3rd, 2018
RAEL MUKEKU: Mke wa wanaume wawili, na wanaishi kwa raha
Na PIUS MAUNDU UKIKUTANA naye njiani akivalia nadhifu na kufuga nywele fupi asili, utadhani Bi Rael Mukeku, ni mwanamke wa kisasa,...
- by adminleo
- August 8th, 2018
Nitakosa mwanamume wa kunitongoza picha ikichapishwa, msichana aambia hakimu
Na RICHARD MUNGUTI KIDOSHO aliyegeuka bondia na kumzamba masumbwi msichana katika kituo cha Reli Jumanne aliomba mahakama iamuru...
- by adminleo
- August 6th, 2018
Wanandoa wanyweshwa mkojo kwa kuoana kisiri
Na MASHIRIKA MADHYA PRADESH, INDIA MWANAMUME na mke wake walitekwa nyara wakapigwa na kulazimishwa kunywa mkojo na familia ya mke huyo...
- by adminleo
- August 6th, 2018
KURUNZI YA PWANI: Miraa inavyovunja ndoa baada vijana kukosa nguvu chumbani
Na WINNIE ATIENO Ndoa nyingi zimeathirika katika kaunti ya Mombasa huku vijana waliofikisha umri wa kuoa wakishindwa kufanya hivyo...