Tag: orengo
Viongozi Mlima Kenya watazuru Nyanza kuthibitisha wanaunga mkono Raila – Orengo
Na MWANDISHI WETU UJUMBE wa viongozi waliochaguliwa eneo la Mlima Kenya utazuru Nyanza kuthibitishia wenyeji kwamba ngome ya Rais Uhuru...
Orengo awalaumu vigogo ODM kwa kumtoroka Raila
Na VICTOR RABALLA SENETA wa Siaya, James Orengo, amewakemea viongozi wa ODM kwa kumuacha kiongozi wa chama hicho Raila Odinga wakati...
Korti yamzima Orengo kuwa wakili wa Manduku
Na PHILIP MUYANGA MAHAKAMA Kuu imemzima Seneta wa Siaya, James Orengo, kumtetea aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari ya Kenya...
Orengo apendekeza Oburu Odinga kumrithi useneta Siaya
Na CECIL ODONGO SENETA wa Siaya James Orengo ametangaza kuwa anampendekeza kakake kiongozi wa ODM Raila Odinga, Dkt Oburu Odinga,...
- by adminleo
- March 8th, 2020
ODM yatisha kumng’oa Dkt Ruto
DICKENS WASONGA na CHARLES WASONGA KWA mara nyingine viongozi ODM wamedokeza kuwa huenda wakadhamini hoja ya kumng’oa mamlakani Naibu...
- by adminleo
- July 22nd, 2019
‘Punguza Mizigo’ yagawanya wanasiasa
Na WAANDISHI WETU MSWADA wa kurekebisha katiba unaotarajiwa kuwasilishwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kwa mabunge ya...
- by adminleo
- June 1st, 2019
Msalimie Orengo yuko hapa, Raila amkumbusha Uhuru
Na CHARLES WASONGA WAGENI mashuhuri waliohudhuria sherehe za Madaraka Dei Jumamosi katika Uwanja wa Michezo wa Narok walichangamshwa na...
- by adminleo
- March 31st, 2019
Wanaotaka kuning’oa mamlakani wanaota mchana – Ruto
WAANDISHI WETU NAIBU RAIS William Ruto, amewapuuzilia mbali wale wanaoendeleza mpango wa kumuondoa mamlakani akisema ataendelea...
- by adminleo
- March 31st, 2019
Mpuuzeni Orengo kumpangia Ruto mabaya – Raila
Na JUSTUS WANGA KIONGOZI wa chama cha ODM, Raila Odinga, hafurahishwi na mwandani wake seneta wa Siaya James Orengo, kufuatia matamshi...
- by adminleo
- March 24th, 2019
JAMVI: Handisheki ilivyoibua ubabe wa kisiasa baina ya Orengo na Mbadi
NA CECIL ODONGO MATAMSHI ya Seneta wa Siaya James Orengo ambaye pia ni mwandani wa kinara wa ODM Raila Odinga, kwamba chama hicho kiko...
- by adminleo
- March 15th, 2019
Mbadi atofautiana na Orengo
Na CHARLES WASONGA MWENYEKITI wa ODM John Mbadi amepuuzilia madai ya Seneta wa Siaya James Orengo kwamba kiongozi wa chama hicho Raila...
- by adminleo
- February 24th, 2019
Caroline Mwatha aliuawa na polisi – Orengo
NA CAROLINE MUNDU VIONGOZI katika Kaunti ya Siaya, wamepuuzilia mbali ripoti ya uchunguzi wa polisi iliyoonyesha mwanaharakati Caroline...