Tag: safaricom
- by adminleo
- June 10th, 2019
Wafanyakazi wa Safaricom motoni kwa kudai Sh300m kilaghai
Na RICHARD MUNGUTI WAFANYAKAZI wawili wa kampuni ya Safaricom Jumatatu walishtakiwa kwa kudai malipo ya Sh300 milioni kwa njia ya...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
Bob Collymore kuondoka Safaricom 2020
Na BERNARDINE MUTANU Safaricom imerefusha kandarasi ya Afisa Mkuu Mtendaji Bob Collymore kwa mwaka mmoja. Kampuni hiyo imesema lengo...
- by adminleo
- May 5th, 2019
Safaricom ilivyojiimarisha kifedha
Na BERNARDINE MUTANU FAIDA ya kampuni ya Safaricom baada ya kutozwa ushuru imeimarika kwa asilimia 14.7 hadi Sh63.4 bilioni. Faida...
- by adminleo
- April 16th, 2019
Euronuts, Barcelona Ladies mabingwa wa Chapa Dimba na Safaricom
Na JOHN KIMWERE BINGWA mtetezi kwenye michezo ya Chapa Dimba na Safaricom Makala ya Eneo la Kati, Euronuts, na Barcelona Ladies...
- by adminleo
- March 21st, 2019
Fuliza sasa yabisha kwa soko la kimataifa
Na BERNARDINE MUTANU Safaricom imetangaza mpango wa kueneza huduma yake mpya ya Fuliza, itumiayo M-Pesa, kwa mataifa sita...
- by adminleo
- February 8th, 2019
Airtel na Telkom zaungana kuzima ukiritimba wa Safaricom
Na BENSON MATHEKA KAMPUNI za Airtel Kenya na Telkom Kenya Ijumaa ziliungana ili kuimarisha hudumua zao za mawasiliano ya simu, data na...
- by adminleo
- February 8th, 2019
Yaibuka Wakenya tayari washakopa Sh6.2 bilioni kwa Fuliza
VICTOR JUMA na BENSON MATHEKA WATEJA wa kampuni ya Safaricom walikopa Sh6.2 bilioni kupitia huduma mpya ya kukopa pesa ya Fuliza katika...
- by adminleo
- February 7th, 2019
Lindeni watoto dhidi ya hatari za intaneti – Safaricom
Na BERNARDINE MUTANU Kampuni ya Mawasiliano ya Simu ya Safaricom imewashauri washikadau kuwalinda watoto dhidi ya hatari inayotokana na...
- by adminleo
- January 9th, 2019
Fuliza ya Safaricom kuwezesha wasio na hela kuzituma kupitia M-Pesa
Na BERNARDINE MUTANU WATUMIZI wa M-Pesa sasa wanaweza kununua bidhaa au kutuma pesa wakiwa hawana pesa katika akaunti zao za...
- by adminleo
- December 10th, 2018
Serikali kuchunguza kukatika kwa huduma za M-Pesa
Na LEONARD ONYANGO WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia (ICT) Joe Mucheru ameagiza Mamlaka ya mawasiliano (CA) kushirikiana na...
- by adminleo
- November 16th, 2018
Safaricom yawafaa wanawake wajawazito
NA KALUME KAZUNGU SERIKALI ya kaunti ya Lamu imeingia kwenye mkataba wa maelewano (MoU) kati yake na wakfu wa Safaricom ili kujenga nyumba...
- by adminleo
- November 2nd, 2018
Safaricom yazidi kupaa
Na BERNARDINE MUTANU Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom imeendelea kutamba baada ya kupata ongezeko la faida la asilimia 20.22 kwa miezi...