Tag: samaki
- by adminleo
- June 6th, 2019
AKILIMALI: Mbinu mpya ya kufuga samaki bila vidimbwi
Na RICHARD MAOSI SAMAKI ni lishe miongoni mwa Wakenya wengi; aidha wafanyabiashara wamekuwa wakijipatia kipato kizuri kwa kufanya...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
MAPISHI: Samaki wa kuokwa
Na MARGARET MAINA MUDA wa kuandaa: Dakika 10 Muda wa kuoka: Dakika 45 Walaji : 3 Vinavyohitajika Samaki 3 Kitunguu saumu ...
- by adminleo
- March 27th, 2019
Uchunguzi wa BBC wadai China inavua samaki Afrika kiharamu
Na MASHIRIKA UCHUNGUZI wa shirika la habari la BBC umedhihirisha kuwa China imekuwa ikitumia mbinu haramu kuvua samaki katika Bahari ya...
- by adminleo
- March 12th, 2019
TZ yachoma samaki wenye sumu kutoka China huku Kenya ikizidi kununua
Na PETER MBURU SERIKALI ya Tanzania Jumatatu iliteketeza shehena ya tani 11 za samaki kutoka Uchina, baada ya kudaiwa kuwa na sumu, ya...
- by adminleo
- December 31st, 2018
Tilapia wa bei nafuu kutoka Uchina ni hatari kwa afya – Utafiti
Na ALLAN OLINGO na FAUSTINE NGILA UTADHANI kitoweo cha samaki unachokula kwenye mikahawa ya mijini hapa Kenya kimetoka kwa maziwa ya...
- by adminleo
- December 20th, 2018
UVUVI: Huenda kitoweo cha samaki nchini kikawa historia tusipochukua hatua
RICHARD MAOSI NA MAGDALENE WANJA Uzalishaji wa samaki nchini ulipungua pakubwa kati ya mwaka wa 2013 na 2016 - kwa asilimia 21.3 kutoka...
- by adminleo
- December 13th, 2018
AKILIMALI: Uundaji kamba kwa nyavu za samaki wawapa umaarufu na kipato
Na STEPHEN DIK Bi Josephine Anyango na msaidiza wake, Bi Monica Akoth ni wasusi wa kamba ndefu za kufunga mifugo, kamba hizi...
- by adminleo
- December 13th, 2018
AKILIMALI: Teknolojia yamwezesha kuangua watoto wa samaki bila masihara
NA FAUSTINE NGILA AKILIMALI inapofika kwake, inampata George Muga akiweka paneli la kunasa kawi ya jua nje ya nyumba yake.?Kisha, kwa...
- by adminleo
- October 17th, 2018
Uhuru atoa sababu za kupiga marufuku samaki wa Uchina
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta amepiga marufuku uagizaji wa wa samaki kutoka China. Kiongozi wa taifa alisema samaki kutoka...
- by adminleo
- October 17th, 2018
Uhuru apiga marufuku samaki kutoka Uchina
Na PETER MBURU RAIS Uhuru Kenyatta ameungana na Wakenya wanaolalamika kuhusiana na kuongezeka kupita kiasi kwa samaki kutoka China humu...
- by adminleo
- May 24th, 2018
Mlo wa bei ghali wafanya kidosho ajipate singo
Na LEAH MAKENA KARIOBANGI, NAIROBI KIDOSHO mmoja mtaani hapa aliachwa mataani baada ya kushindwa kudhibiti tamaa yake ya kupenda...
- by adminleo
- May 1st, 2018
Serikali yaamriwa kuwalipa wavuvi mabilioni
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu imeamuru serikali iwalipe fidia ya Sh1.76 bilioni wavuvi wapatao 4,600 katika kaunti ya Lamu. Wavuvi hao...