Tag: sare
- by adminleo
- September 28th, 2019
Polisi waliofutwa waamriwa warejeshe sare
Na KNA POLISI wa akiba nchini (NPR) waliopokonywa silaha na serikali, sasa wameamrishwa kusalimisha sare zote walizo nazo. Kamishna...
- by adminleo
- September 3rd, 2019
Bale aisaidia Madrid sare dhidi ya Villarreal
Na MASHIRIKA NYOTA Gareth Bale aliwafungia Real Madrid mabao mawili kabla ya kuonyeshwa kadi nyekundu mwishoni mwa kipindi cha pili...
- by adminleo
- August 9th, 2019
Kitui yafaulu kushona sare za machifu wote nchini
Na KITAVI MUTUA KAUNTI ya Kitui Jumatano iliwasilisha kifurushi cha kwanza cha sare za machifu na manaibu wao kwa Afisi ya Rais huku...
- by adminleo
- December 18th, 2018
Sare mpya za polisi zitashonwa na NYS – Matiang’i
Na PETER MBURU SERIKALI imeshikilia kuwa haitanunua tena sare za polisi kutoka nje ya nchi, ikisema kuwa kuna baadhi ya wakora ambao...
- by adminleo
- December 18th, 2018
ONYANGO: Visa vya polisi kujiua vichunguzwe kwa kina
Na LEONARD ONYANGO TUNAPOFUNGA mwaka, maafisa wa polisi ni miongoni mwa watumishi wa serikali ambao watakumbuka 2018 kwani...
- by adminleo
- September 13th, 2018
#PoliceReforms: Kero mitandoani kuhusu sare za buluu
Na CECIL ODONGO BAADA ya Rais Uhuru Kenyatta kuzindua mabadiliko kadhaa katika Idara ya Polisi Alhamisi, Wakenya mitandaoni wametoa hisia...
- by adminleo
- July 9th, 2018
Shule zote za umma kuvalia sare za rangi moja
WYCLIFF KIPSANG na CHARLES WASONGA SERIKALI imetangaza nia ya kubadilishwa kwa sera ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wa shule zote za umma...
- by adminleo
- May 13th, 2018
Sare ya 2-2 dhidi ya Nakumatt yatamausha mashabiki wa Ingwe
Na GEOFFREY ANENE MASHABIKI wa AFC Leopards hawana raha kabisa baada ya timu yao kukabwa 2-2 na Nakumatt na kumaliza mechi ya nane bila...
- by adminleo
- April 17th, 2018
Kenya yalazimishwa sare tasa na Ethiopia U-17
Na GEOFFREY ANENE KENYA imeambulia sare tasa dhidi ya Ethiopia katika mechi yake ya pili kwenye mashindano ya soka ya wachezaji wasiozidi...
- by adminleo
- February 12th, 2018
Sony yaramba Ulinzi kwenye ligi kuu ingawa kwa jasho kuu
Na GEOFFREY ANENE Kwa Muhtasari: Kevin Omondi alisukuma wavuni bao la pekee dakika ya 16 Kariobangi Sharks ilikabwa 2-2 na...