• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:08 PM

Gitothua wapanga kukuza vipaji vya mabinti na wavulana

Na JOHN KIMWERE TIMU za michezo mbalimbali huanzishwa kwa malengo tofauti ikiwamo kunoa makucha ya wachezaji wazo wakipania kupaisha...

Rush United inavyokuza soka Nakuru

NA RICHARD MAOSI Dhana potovu kuwa soka za mitaani hazina mashiko imepitwa na wakati. Hii ni kwa sababu wachezaji nyota wamekuwa...

Falling Waters yajiandalia fainali za Chapa Dimba

Na JOHN KIMWERE KOCHA wa timu ya wasichana ya Falling Waters, Emman 'Gullit' Wambuchi anasema wanapania kujituma mithili ya mchwa kwenye...

Gogo Boys yapania kuwa na makali ya Gor

Na JOHN KIMWERE GOGO Boys inapania kujituma mithili ya mchwa kupigania tiketi ya kupandishwa ngazi kushiriki kipute cha Ligi ya Taifa...

City Stars yazidi kutetemesha kipute

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Nairobi City Stars iliendelea kutetemesha wapinzani wao kwenye kampeni za kufukuzia taji la Betika Supa Ligi ya...

FKF Nairobi Magharibi yapata viongozi wapya

Na JOHN KIMWERE LICHA ya mkurupuko wa virusi hatari vya Corona hapa nchini uchaguzi wa Shirikisho la Soka ya Kenya (FKF) katika Kaunti...

City Stars yaangusha APs Bomet BNSL

Na JOHN KIMWERE WANASOKA wa Nairobi City Stars maarufu Simba wa Nairobi waliendelea kutetemesha wapinzani wao, kwenye kampeni za kuwania...

Baadhi ya mashindano ya kale nchini

Na JOHN KIMWERE  MICHUANO ya kuwania taji la FKF Betway Cup awali ikifahamika kama Kombe la Ngao (GoTV) ni kati ya mashindano kongwe...

KSG Ogopa yabanwa na Dagoretti Lions

Na JOHN KIMWERE TIMU ya KSG Ogopa FC ilipigwa breki ilipozabwa bao 1-0 na Dagoretti Lions kwenye mechi ya kuwania taji la Nairobi West...

Mipango ya GORP kujinyanyua ligini

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Grain of Rice Project (GORP FC) inapania kujituma kiume kwenye mechi za Kundi B Ligi ya Kaunti ya Nairobi West...

Motisha ya mashabiki nguzo ya Kibra United

Na JOHN KIMWERE KIBRA United na Gogo Boys zote kutoka Kibera, Nairobi zinajisuka upya kwenye mechi za Kundi A Ligi ya Taifa Daraja la...

‘Simba wa Nairobi’ wanguruma

NA JOHN KIMWERE  WAPIGAGOZI wa Nairobi City Stars maarufu Simba wa Nairobi walitoka chini goli 1-0 na kufaulu kubeba mabao 2-1 dhidi ya...