Tag: SUMU
- by adminleo
- December 20th, 2018
UTALII: Nani aliwaua ndovu 11 kwa sumu Maasai Mara?
NA GEORGE SAYAGIE HALI ya sintofahamu bado inaendelea kuzingira vifo vya ndovu 26 katika mbuga ya Maasai Mara inayosimamiwa na serikali...
- by adminleo
- December 1st, 2018
Fisi waliolishwa sumu wavamia wakazi
NA BRUHAN MAKONG KUONGEZEKA kwa visa vya fisi kuvamia wakazi katika kaunti ya Wajir kumechangiwa na hali ya wanyama hao kutiliwa sumu na...
- by adminleo
- November 1st, 2018
Mwanamume akiri kuwaua wagonjwa 100 kwa sumu
MASHIRIKA NA PETER MBURU MWANAMUME aliyekuwa muuguzi nchini Ujerumani amekiri mbele ya korti kuwa aliwaua wagonjwa 100 kwa kuwapa dawa...
- by adminleo
- October 3rd, 2018
FBI wachunguza aliyemtumia Trump sumu kwa bahasha
Na AFP WASHINGTON, AMERIKA IDARA ya Upelelezi ya Amerika (FBI) inafanya uchunguzi kubainisha aliyemtumia Rais Donald Trump na maafisa...
- by adminleo
- June 22nd, 2018
Ongwae anaswa kuhusu mbolea feki, achunguzwa kwa sukari ya sumu
Na CHARLES WASONGA MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Kukadiria Ubora wa Bidhaa (KEBS) Charles Ongwae Ijumaa alikamatwa kuhusiana na kashfa...
- by adminleo
- June 21st, 2018
Sukari ya magendo sasa yanaswa Lamu
NA KALUME KAZUNGU POLISI katika Kaunti ya Lamu wamenasa magunia zaidi ya 80 ya sukari ya magendo yenye thamani ya Sh402,500. Magunia hayo...
- by adminleo
- June 19th, 2018
Sukari yenye sumu yanaswa maeneo kadhaa nchini
Na WAANDISHI WETU MSAKO dhidi ya sukari ya magendo umechacha nchini huku serikali ikionya kuwa sukari yenye sumu tayari inauzwa...
- by adminleo
- June 14th, 2018
ATHARI ZA UFISADI: Wakenya wanavyoangamia kwa kuuziwa sukari yenye sumu
Na LEONARD ONYANGO WAFANYABIASHARA walafi na maafisa fisadi serikalini wanachangia pakubwa katika vifo vya Wakenya kwa kuwauzia sukari...