Tag: talaka
- by adminleo
- December 19th, 2018
Sababu ya korti kumruhusu Kibor kumtaliki mke wa tatu
Na TITUS OMINDE MKULIMA na mfanyabiashara maarufu kutoka Kaunti ya Uasin Gishu Mzee Jackson Kibor jana alisema sasa atafurahia maisha...
- by adminleo
- October 24th, 2018
Mke alishwa talaka kwa kukosa kumakinika katika mapishi ya pilau
STEPHEN ODUOR Na CECIL oDONGO MWANAUME kutoka Kaunti ya Tana River amemlisha mkwewe talaka kwa kumwaandalia visivyo mlo wa pilau...
- by adminleo
- October 19th, 2018
Mwanamke aiomba korti imlazimishe mumewe amtaliki
MASHIRIKA NA GEOFFREY ANENE MWNAMKE mmoja jumaa ameomba mahakama nchini India itamatishe ndoa yake ya miaka 16 kwa sababu mume wake...
- by adminleo
- August 13th, 2018
Wakili akana kumsaidia mtalikiwa kutwaa mali ya mume
NA RICHARD MUNGUTI WAKILI aliyeshtakiwa kumsaidia mke aliyemtaliki mume kumlaghai ardhi yenye thamani ya Sh10 milioni katika kaunti ya...
- by adminleo
- May 12th, 2018
Mwanamume kumlipa mkewe wa zamani Sh127,000 kila mwezi
Na RICHARD MUNGUTI JUHUDI za mwanaume za kupunguziwa mzigo wa kumtunza na kumpa mkewe aliyemtaliki kitita cha Sh127,000 kila mwezi maisha...
- by adminleo
- May 6th, 2018
Mke ataka talaka kwa kunyimwa ‘mlo wa usiku’ na mumewe
Na BRIAN OCHARO MWANAMKE mmoja amewasilisha kesi mahakamani kutaka apewe talaka ili kumaliza ndoa yake ya miaka 22 kwa madai kuwa mumewe...
- by adminleo
- April 3rd, 2018
Ndoa hizi za siri zimeongeza visa vya talaka – CIPK
[caption id="attachment_4031" align="aligncenter" width="800"] Mwenyekiti wa CIPK, tawi la Lamu, Ustadh Abubakar Shekuwe akionya wakazi na...
- by adminleo
- February 14th, 2018
FATAKI: Si lazima kuzaa au kuolewa ndipo ukamilike kama mwanamke, usiishi kuridhisha waja
Na PAULINE ONGAJI Kwa Muhtasari: Maishani mwake hajawahi kuolewa ila alibahatika kukutana na dume la miaka 65 mtandaoni Jamii...