• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 5:50 AM

Tangatanga wakunja mikia

WAANDISHI WETU WANASIASA ambao wamekuwa wakimpigia debe Naibu Rais William Ruto kuwania urais 2022, maarufu kama Tangatanga, wameingiza...

Nia yetu si kumng’oa Uhuru madarakani – Tangatanga

Na GRACE GITAU WABUNGE wa chama cha Jubilee wanaomuunga mkono Naibu Dkt Rais William Ruto wamepuuza madai kwamba wanapanga njama ya...

Tangatanga sasa watoa masharti zaidi kwa Rais

NA WAANDISHI WETU VIONGOZI wa chama cha Jubilee wanaoegemea upande wa Naibu Rais William Ruto wamezidi kumtia presha Rais Uhuru...

Nanok aadhibiwa na ODM kwa kujiunga na Tangatanga

Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM kimemvua Gavana wa Turkana Josephat Nanok wadhifa wa Naibu Mwenyeki wa Kitaifa baada ya kuunga mkono...

Tangatanga wataka Munya na wenzake wajiuzulu

Na CHARLES WASONGA WABUNGE saba kutoka mrengo vuguvugu la 'Tangatanga' sasa wanawataka mawaziri wanaodaiwa kupanga njama ya kumuua Naibu...

Uhuru aapa kuzima Tangatanga

NDUNGU GACHANE na LEONARD ONYANGO RAIS Uhuru Kenyatta ameapa kuanza kampeni ya kuzima wanasiasa wa kundi la Tangatanga wanaohujumu...

JAMVI: Tangatanga na Kieleweke wazua uadui kati ya wazee na makanisa

Na WANDERI KAMAU TOFAUTI za kisiasa kati ya mirengo ya ‘Tangatanga’ na ‘Kieleweke’ sasa zimewagawanya wazee na makanisa kuwili...

Tunalenga kuileta mbingu duniani tunapochanga makanisani – Tangatanga

Na LEONARD ONYANGO Kundi la Tangatanga limetetea michango ya mamilioni ya fedha ambazo wamekuwa wakitoa makanisani huku wakisema kuwa...

Uhuru Kenyatta tuliyemchagua Rais amebadilika, Tangatanga walia

Na MWANGI MUIRURI WANDANI wa Rais Uhuru Kenyatta ambao wamekuwa naye katika mkondo wake wa kisiasa sasa wanasema ametekwa nyara na...

Si haki Tangatanga kuamriwa wakomeshe kampeni za 2022 – Ichung’wa

Na MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Kikuyu, Kimani Ichung’wa sasa anamtaka Rais Uhuru Kenyatta afuate haki anapowataka wafuasi wa Tangatanga...

Makundi ya ‘Tangatanga’ na ‘Kieleweke’ yamchanganya Sonko

Na LEONARD ONYANGO MGAWANYIKO ndani ya chama cha Jubilee umemwacha Gavana wa Nairobi Mike Sonko katika njiapanda kisiasa. Gavana huyo...

Ford Kenya kumtia adabu Khalwale kwa kujiunga na ‘Tangatanga’

Na LEONARD ONYANGO CHAMA cha Ford Kenya kimeanza harakati za kutaka kumwadhibu aliyekuwa Seneta wa Kakamega Boni Khalwale kwa...