Tag: tangatanga
- by adminleo
- January 14th, 2020
UTEUZI: Tangatanga walia Uhuru alipendelea wandani wa Raila
Na CHARLES WASONGA WABUNGE wa mrengo wa Tangatanga kutoka eneo la magharibi mwa Kenya wamelalamikia kile wanachotaja kama kupuuzwa kwa...
- by adminleo
- December 18th, 2019
Kasisi motoni kwa kualika Tangatanga kwa harambee
Na KNA KASISI wa Kanisa Katoliki mjini Bondo, Kaunti ya Siaya amejipata mashakani baada ya kualika wandani wa Naibu Rais William Ruto...
- by adminleo
- December 17th, 2019
Gavana anukuu Biblia huku akigura kundi la Ruto
Na NDUNGU GACHANE VUGUVUGU la kisiasa linalomuunga mkono Naibu wa Rais William Ruto, maarufu kama ‘Tangatanga’ limepata pigo kubwa...
- by adminleo
- December 3rd, 2019
Zima kiburi, Tangatanga wamfokea Matiang’i
WYCLIFF KIPSANG na TOM MATOKE WANDANI wa Naibu Rais William Ruto kutoka Bonde la Ufa wametoa masharti makali ndiposa washiriki katika...
- by adminleo
- November 24th, 2019
2022: Tangatanga walivyopanga kadi zao kumzima Raila
Na COLLINS OMULO NAIBU Rais William Ruto na viongozi wa Chama cha Jubilee wanaoegemea upande wake, maarufu kama Tangatanga, wamepanga...
- by adminleo
- October 16th, 2019
‘Tangatanga’ wakosoa kukamatwa kwa Aisha Jumwa
Na CHARLES WASONGA WABUNGE wa mrengo wa 'Tangatanga' wamekosoa kukamatwa kwa Mbunge wa Malindi, Aisha Jumwa akihusishwa na vurugu...
- by adminleo
- September 27th, 2019
Msajili akataa Tangatanga, Kieleweke
Na LEONARD ONYANGO JUHUDI za baadhi ya wanasiasa kutaka kugeuza makundi ya 'Kieleweke' na 'Tangatanga' kuwa vyama vya kisiasa zimegonga...
- by adminleo
- September 11th, 2019
Tangatanga wamtishia Mutyambai, wataka Matiang’i ajiuzulu
IBRAHIM ORUKO na NDUNGU GACHANE WABUNGE wa Chama cha Jubilee wanaoegemea mrengo wa Tangatanga, sasa wametishia kumwadhibu Inspekta Mkuu...
- by adminleo
- September 2nd, 2019
Kibwana akana madai ya kufanyia kazi Tangatanga
Na PIUS MAUNDU GAVANA wa Makueni, Prof Kivutha Kibwana amepuuzilia mbali madai ya baadhi ya wandani wa kinara wa chama cha, Bw Wiper...
- by adminleo
- September 2nd, 2019
Lazima Ruto aingie Ikulu – Tangatanga
Na GEORGE MUNENE WABUNGE 18 kutoka eneo la Mlima Kenya wanaoegemea mrengo wa Tangatanga Jumapili walisisitiza kuwa Naibu wa Rais William...
- by adminleo
- August 6th, 2019
Njama ya Tangatanga kutwaa uongozi wa Jubilee
Na MWANGI MUIRURI NJAMA kali imepangwa na mrengo wa Naibu wa Rais Dkt William Ruto ya kuchukua udhibiti wa chama cha Jubilee...
- by adminleo
- August 4th, 2019
Ruto akubali kukoma kutangatanga kisiasa
Na NDUNGU GACHANE NAIBU Rais William Ruto Jumapili alionekana kuanza kutii mwito wa Rais Uhuru Kenyatta wa kukomesha kampeni za mapema,...