Tag: UHURAILA
- by adminleo
- March 21st, 2018
TAHARIRI: Muafaka usiwe kifo cha upinzani
Na MHARIRI MALUMBANO ndani ya vyama tanzu vya upinzani unaendelea kupandisha joto la kisiasa ambalo lilikuwa limezimwa na mkutano wa...
- by adminleo
- March 18th, 2018
JAMVI: Wabunge waonekana kutoelewa makubaliano ya Uhuru na Raila yanakoelekea
Na CHARLES WASONGA HUKU mwafaka kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga ukiendelea kuibua hisia mseto imebainika...
- by adminleo
- March 18th, 2018
JAMVI: Tetesi za vinara wa NASA kukutana kisiri na Ruto zilivyoyeyusha misimamo mikali
MKUTANO wa Rais Uhuru Kenyatta na kinara wa NASA Raila Odinga wiki iliyopita ulianza kuandaliwa hata kabla ya hafla ya kumuapisha Bw Odinga...
- by adminleo
- March 18th, 2018
JAMVI: Mkataba wa Raila na Uhuru wazalisha mayatima wa kisiasa
Na WYCLIFFE MUIA HATUA ya Rais Uhuru Kenyatta na kinara wa NASA Raila Odinga kutangaza ushirikiano mpya inatishia mustakabali wa...
- by adminleo
- March 18th, 2018
Je, ni nembo ya ‘usaliti’ kwa Raila kumkumbatia Uhuru?
Na BENSON MATHEKA Kwa ufupi: Kuna hisia kuwa Bw Odinga ni mtu mbinafsi, asiyeweza kuaminika na lengo lake ni kuwatumia watu...
- by adminleo
- March 16th, 2018
Ulikuwa uamuzi mchungu sana kukutana na Uhuru – Raila Odinga
Na RUTH MBULA na BARACK ODUOR Kwa ufupi: Raila asema haikuwa rahisi kwake kukubali kuketi pamoja na Rais Kenyatta na kutia saini...
- by adminleo
- March 16th, 2018
Ruto apokelewa kwa shangwe Mombasa
Na KAZUNGU SAMUEL ZAIDI ya wabunge 10 kutoka mrengo wa NASA Ijumaa walimpokea kwa heshima Naibu Rais William Ruto alipohudhuria mkutano...
- by adminleo
- March 16th, 2018
SHAIRI: Siasa nimekuacha, kwaheri tutaonana
Ni tafakari ya babu, au kichwa cha gazeti? Nayatafuta majibu, kwalo hili swali nyeti, Kenya ina maajabu, ukifanya...
- by adminleo
- March 16th, 2018
Tokeni NASA kama nyinyi ni wanaume, ODM yaambiwa
Na WYCLIFFE MUIA BAADHI ya wabunge wa vyama vya Wiper, ANC na Ford Kenya sasa wamewataka wenzao wa ODM waondoke kutoka kwa muungano wa...
- by adminleo
- March 16th, 2018
Hakuna nusu mkate, Duale afafanua
Na CHARLES WASONGA Kiongozi wa wengi katika Bunge la Kitaifa Aden Duale Jumatano alisema muungano wa upinzani bado utakuwa ukiendelea...
- by adminleo
- March 16th, 2018
Tunataka kukutana na Uhuru – Kalonzo, Mudavadi na Weta
CHARLES WASONGA, STEPHEN MUTHINI na WYCLIFFE MUIA KIONGOZI wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amependekeza mkutano kati ya vinara watatu...
- by adminleo
- March 13th, 2018
Raila awekwa kwenye mkeka na vinara wenza
Na VALENTINE OBARA Kwa ufupi: Bw Odinga aliwashtua wenzake Ijumaa alipokutana na Rais Uhuru Kenyatta bila kuwajulisha, jambo ambalo...