Tag: UHURAILA
- by adminleo
- August 6th, 2018
OBARA: Twahitaji muujiza wa pili ili mwafaka ufanikiwe
Na VALENTINE OBARA Baada ya kusubiri kwa miezi mitano, hatimaye mojawapo ya malengo makuu ya muafaka baina ya Rais Uhuru Kenyatta na...
- by adminleo
- May 26th, 2018
JAMVI: Hatari ya mwafaka wa Uhuru na Raila kuvunjika
Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM, Raila Odinga, wanafaa kudumisha mwafaka wao ili nchi isitumbukie kwenye ghasia...
- by adminleo
- May 9th, 2018
Sura mpya ya ‘Baba’ baada ya salamu
Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha ODM, Raila Odinga amechukua sura mpya tangu Machi 9, 2018 alipoamkuana na Rais Uhuru Kenyatta....
- by adminleo
- May 7th, 2018
Niko tayari kuungana na UhuRaila kuunganisha Wakenya – Kalonzo
Na FRANCIS MUREITHI KIONGOZI wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amesema yuko tayari kujiunga na Rais Uhuru Kenyatta katika juhudi za...
- by adminleo
- May 1st, 2018
MUAFAKA: Orodha ya Uhuru na Raila yapingwa vikali
Na WAANDISHI WETU UAMUZI wa Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa upinzani, Bw Raila Odinga kuteua jopokazi la watu 14 kuwashauri kuhusu...
- by adminleo
- April 16th, 2018
Kuria apokelewa vizuri Nyanza baada ya muafaka
NA PETER MBURU MUAFAKA baina ya mkono kati ya Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga umewanusuru viongozi wengi waliochukiwa...
- by adminleo
- April 16th, 2018
ODM: Ruto anavuruga muafaka wa Uhuru na Raila
VALENTINE OBARA na DAVID MWERE WABUNGE wa upinzani wamemkashifu Naibu Rais, Bw William Ruto, kwa kupinga pendekezo kuhusu marekebisho ya...
- by adminleo
- April 1st, 2018
JAMVI: Muafaka ulivyoyeyusha siasa kali za Raila na NASA
Na BENSON MATHEKA HUENDA kinara wa NASA, Raila Odinga aliangukia mtego wa kuzima siasa zake kali za kuikosoa serikali kwa kukubali...
- by adminleo
- March 26th, 2018
Wanasiasa wataka Jubilee iwe macho Raila asije akazima ndoto ya Ruto 2022
[caption id="attachment_3518" align="aligncenter" width="800"] GAVANA wa Kiambu Bw Ferdinand Waititu. Picha/ Maktaba[/caption] Na...
- by adminleo
- March 25th, 2018
JAMVI: Uhuru afanikiwa kupunguza makali ya vinara wa upinzani kwa utawala wake
Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta hatimaye amefaulu kudhoofisha upinzani dhidi ya serikali yake kwa kumshawishi kiongozi wa ODM...
- by adminleo
- March 25th, 2018
Ziara ya Rais Uhuru na Raila mjini Kisumu yaahirishwa
Na JUSTUS WANGA MKUTANO wa pamoja kati ya Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa NASA Raila Odinga uliotaribiwa kufanyika wiki hii mjini...
- by adminleo
- March 25th, 2018
Weta na Mudavadi waapa kusambaratisha ndoa ya Uhuru na Raila
Na DERRICK LUVEGA na JUSTUS OCHIENG’ Kwa ufupi: Mudavadi asema Raila ni msaliti na kama jamii ya Waluhya inafaa kuepukana kabisa...