Tag: ukeketaji
- by adminleo
- December 12th, 2019
Yaibuka wasichana wanakeketwa kisiri Samburu
Na GEOFFREY ONDIEKI [email protected] Juhudi za serikali na mashirika mbalimbali kumaliza ukeketaji wa wasichana katika kaunti...
- by adminleo
- November 13th, 2019
Wanawake wanne wanaswa mjini Thika kwa ukeketaji
Na LAWRENCE ONGARO WASICHANA wanne wadogo waliokolewa na polisi baada ya kupashwa tohara kisiri mjini Thika. Afisa mkuu wa polisi wa...
- by adminleo
- November 12th, 2019
Ukatili wanaofanyiwa mabinti wakikeketwa
NA PHYLIS MUSASIA MADAKTARI kutoka Hospitali ya Nakuru jana walishangaa walipopata matone ya mafuta taa na mkojo kwenye chembechembe za...
- by adminleo
- November 11th, 2019
Tusaidieni kuwatambua wanaokeketa wasichana kisiri – Serikali
Na GEOFFREY ONDIEKI [email protected] Huku vita dhidi ya ukeketaji wa wasichana vikiendelea humu nchini, wakazi wa Kaunti ya...
- by adminleo
- November 8th, 2019
Rais aonya maafisa wanaochangia kuendelea kuwepo kwa visa vya ukeketaji wasichana
Na SAMMY WAWERU ONYO kali limetolewa kwa maafisa wa serikali wanaoendeleza kwa njia moja au nyingine vitendo vya ukeketaji wa wasichana...
- by adminleo
- May 26th, 2019
SUNDERLAND SAMBA FC: Mabinti wanaojitolea kukabili ukekeketaji Narok
Na JOHN KIMWERE SUNDERLAND Samba FC inayopatikana eneo la Mashangwa katika Wilaya ya Kilgoris, Kaunti ya Narok imeorodheshwa kati ya...
- by adminleo
- February 23rd, 2019
Ni visiki vipi vinahujumu juhudi za kumaliza ukeketaji kabla ya 2030?
Na MWANGI MUIRURI KUNA viongozi wa kidini hapa nchini Kenya ambao huegemea mila na desturi za jadi katika jamii na ambao kisiri huunga...
- by adminleo
- February 6th, 2019
NGILA: Juhudi ziongezwe kuzima ukeketaji wa siri
NA FAUSTINE NGILA FEBRUARI 6 kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhamasisho kuhusu Ukeketeji ambapo Umoja wa Mataifa huhimiza jamii zote...
- by adminleo
- February 5th, 2019
Shujaa wa vita dhidi ya ukeketaji katika jamii ya Wamaasai
Na CHARLES WASONGA HUKU ulimwengu ukiadhamisha "Siku ya Kimataifa ya Vita dhidi ya Ukeketaji (International Day of Zero Tolerance to...
- by adminleo
- January 31st, 2019
UKEKETAJI: Juhudi zilizochangia tohara ya wanawake kupungua Afrika Mashariki
Na PAULINE ONGAJI KULINGANA na utafiti uliofanywa na jarida la BMJ Global Health na kuchapishwa mwaka 2018, idadi ya wasichana...
- by adminleo
- January 3rd, 2019
Wasichana wa Narok kuchunguzwa kama wamekeketwa
Na GEORGE SAYAGIE KAMISHNA wa Kaunti ya Narok, George Natembeya (pichani kulia), amesisitiza kuwa wasichana wote wa shule katika kaunti...
- by adminleo
- December 20th, 2018
ELIZABETH CHEPKORIR: Aliwakeketa wasichana 1,000 lakini sasa anaongoza kampeni za kukomesha uovu huo
Na MAGDALENE WANJA KATIKA miezi ya Novemba na Desemba, baadhi wanawake na wasichana katika kaunti za Nakuru na Baringo hutarajiwa...