Tag: uroda
- by adminleo
- August 27th, 2019
Alipia kitanda alichovunja akimumunya uroda
NA NICHOLAS CHERUIYOT KERICHO MJINI ILIBIDI polo wa hapa kumnunulia rafiki yake kitanda kipya baada ya kuvunja chake akiramba asali...
- by adminleo
- July 14th, 2019
Lukaku, Lingard, Sanchez, Bailly na Martial wananimezea mate, nifanyaje?
Na CHRIS ADUNGO WIKI chache baada ya Fanny Neguesha kumtaka mwanasoka Mario Balotelli kumkoma kabisa, mwanamitindo huyo wa Ubelgiji...
- by adminleo
- July 3rd, 2019
Polo ahama baada ya kufumania mke akitafunwa na rafiki
Na TOBBIE WEKESA USENGE, BONDO Kalameni mmoja wa eneo hili aliwashangaza wengi alipoamua kugura boma baada ya kumpata mkewe akila...
- by adminleo
- June 30th, 2019
Pasta mla fuska abanwa na kidosho
Na Leah Makena ISINYA, KAJIANDO Pasta wa hapa, alilazimika kumkabidhi kidosho mmoja sadaka iliyotolewa kanisani ili asianike vitendo...
- by adminleo
- February 14th, 2019
Mwalimu amuua mumewe kwa kumnyima uroda
RICHARD MUNGUTI Na DAILY MONITOR KALIRO, UGANDA MWALIMU wa shule ya msingi aliyekuwa na uchu wa kuburidishwa kitandani na mume wake,...
- by adminleo
- January 30th, 2019
Mwanamke kizimbani kwa kumlazimishia mvulana uroda
Na RICHARD MUNGUTI MWANAMKE mwenye umri wa miaka 23 ameshtakiwa kwa ubakaji kwa kumlisha mvulana wa darasa la nane tunda la ndoa ndani...
- by adminleo
- January 7th, 2019
Mbunge ashauri wasichana wakome kuwapa ‘masponsa’ uroda
Na JADSON GICHANA MBUNGE Mwakilishi wa Kike Kaunti ya Kisii, Bi Janet Ong’era amewashauri wasichana wajiepushe kushiriki ngono na...
- by adminleo
- November 22nd, 2018
Ashangaza kumpa mke idhini kugawia makalameni asali
NA BENSON MATHEKA Kirigiti, Kiambu BUDA wa hapa aliwashangaza wakazi walipobaini kwamba alimwambia mkewe atafute mpango wa kando wa...
- by adminleo
- November 12th, 2018
Ndoa ya mwanavikapu aliyerambishwa asali ya wizi sasa inayumba
NA MWANDISHI WETU ALIYEKUWA nyota wa NBA, Marcus Camby yuko katika hatari ya kusalia mpweke baada ya kushtakiwa kwa kosa la kumtelekeza...
- by adminleo
- October 23rd, 2018
Mwanaume ang’atwa nyeti kwa kutolipia uroda lojing’i
Na LUCY MKANYIKA POLISI katika Kaunti ya Taita Taveta wanamsaka mwanamke aliyetoroka baada ya kuuma sehemu nyeti za mwanamume...
- by adminleo
- August 29th, 2018
Huddah sasa akiri kuwezwa na uhodari kwa kidume kipya chumbani
Na PETER MBURU MSOSHALAITI Huddah Monroe hatimaye amepata mpenzi, na sasa anataka kila mtu duniani ajue kuhusu uwezo wa dume lake...
- by adminleo
- August 6th, 2018
Wachumba wamwagiwa kinyesi kwa kula uroda nje ya ndoa
Na MASHIRIKA LANGSA, INDONESIA WAPENZI wawili walimwagiwa kinyesi kwa kudaiwa kushiriki ngono nje ya ndoa zao katika eneo la Langsa,...