Tag: uroda
K’Osewe alidai nilichovya asali ya mkewe, mshtakiwa wa jaribio la mauaji afichua kortini
Na RICHARD MUNGUTI AFISA wa mauzo katika kampuni moja ya utalii alijipata taabani kutokana na kinywa chake kilichojaa matusi na majivuno...
Wakongwe wanavyoangamia wakimumunya raha ya dunia
NA WANGU KANURI WAKENYA wanazidi kushangazwa na wazee waliokonga wanapozidi kuiaga dunia katika anasa za dunia, wakilemewa na kazi...
Mwanamume afa akiramba uroda lojing’i
Na CHARLES WANYORO POLISI katika eneo la Maua, Igembe Kusini, Kaunti ya Meru wanachunguza kisa ambapo mfanyabiashara alipatikana amefia...
- by adminleo
- March 30th, 2020
Wang’atwa na nyuki wakila uroda
NA JOHN MUSYOOKI MBIUNI, MACHAKOS KIOJA kilishuhudiwa hapa, jombi na kimada wa mtaani walipovamiwa na nyuki wakirushana roho ndani...
- by adminleo
- February 6th, 2020
Demu afichua mumewe amemnyima asali kwa miaka 4
Na TOBBIE WEKESA WANGURU, KIRINYAGA Kipusa mmoja kutoka hapa aliwashangaza wengi alipodai ndoa yake haina ladha. Mwanadada huyo...
- by adminleo
- December 24th, 2019
Atisha kukausha asali Krismasi
Na TOBBIE WEKESA MAILI NANE, ELDORET Kizaazaa kilizuka kwenye ploti moja mtaani humu baada ya kipusa kumzomea polo kwa kukataa...
- by adminleo
- December 10th, 2019
Mzee wa kanisa mpenda uroda afichuliwa
Na CORNELIUS MUTISYA KAVIANI, MACHAKOS MZEE mmoja wa kanisa eneo hili alipata aibu ya mwaka alipoandikia demu mmoja wa kanisa hilo...
- by adminleo
- December 2nd, 2019
Nusura aachwe na gari akila uroda
Na NICHOLAS CHERUIYOT SOTIK, BOMET JOMBI aliyezuru mji huu kuhudhuria harusi nusura aachwe na basi kwa sababu alikuwa bado akishiriki...
- by adminleo
- December 1st, 2019
Yaya aliyejitetea bosi alimpa Sh800,000 baada ya uroda atupwa ndani
Na Joseph Ndunda Mwanamke aliyedai kuwa bosi wake alimwekelea Sh800,000 kifuani baada ya kumburudisha kimapenzi, Ijumaa alifungwa jela...
- by adminleo
- November 18th, 2019
Mwanafunzi amtandika mwalimu katika fumanizi la uroda darasani
DONNA ATOLA na DICKENS WASONGA MWALIMU wa shule ya upili katika Kaunti ya Busia anauguza majeraha baada ya kushambuliwa na mtahiniwa wa...
- by adminleo
- November 4th, 2019
Ukahaba ni hatia kama uavyaji mimba – Serikali
Na GEOFFREY ONDIEKI SERIKALI imeapa kumaliza shughuli za ukahaba mjini Nakuru ambazo zimekithiri mitaani. Kamishna wa Kaunti ya...
- by adminleo
- September 11th, 2019
Kipusa agawa asali kulipiza kisasi
Na Tobbie Wekesa KABUCHAI, BUNGOMA POLO mmoja wa eneo hili, alishindwa kujieleza alipogundua kuwa mkewe alitekeleza tishio lake la...